🤣🤣 kupata kichekesho kama hiki unabonyeza ngapi mkuu?Kamala mbona yuko poa kimsingi marekani walingoja waone mfano kwa Tanzania (baba lao) kama mwanamama anaweza kuongoza vile wameona nchi inapaa wakasema wao washindwe Wana Nini!?
Next ni china na Russia watafata njia
Si unabonyeza jf kupata madini clear kama haya🤣🤣 kupata kichekesho kama hiki unabonyeza ngapi mkuu?
Nipokeeni wakuu , mimi ni chawa mpya wa mama🤗Si unabonyeza jf kupata madini clear kama haya
#mamamiatanotena#
Nimesoma comment nikajisemea lazima atakuwa mtu maarufu humu kwa kugaragara kwa furaha kumbe sieKamala mbona yuko poa kimsingi marekani walingoja waone mfano kwa Tanzania (baba lao) kama mwanamama anaweza kuongoza vile wameona nchi inapaa wakasema wao washindwe Wana Nini!?
Next ni china na Russia watafata njia
Dakika za mwisho ndizo huwa zinatia point kwa mshindani wako, so Trump anampa point Kamara dakika za lala salama.Donald trump alizomewa na mashabiki wake Jana akiwa stejini mpaka akaralua na kuvunjavunja maiki mbele ya hadhara kwa hasira..,matamshi yake ya kuwakosea heshima wanawake kwenye sera zake kwenye abortion yanamgharim
Mkuu Racism iko hai,hivi kweli Rishi Sunak one on one na Keir Starmar Waingereza European Stock wangemchagua nani?!Nimesoma comment nikajisemea lazima atakuwa mtu maarufu humu kwa kugaragara kwa furaha kumbe sie
Kwa kweli mambo siku hizi yamebadilika ingawa bado yapoMkuu Racism iko hai,hivi kweli Rishi Sunak one on one na Keir Starmar Waingereza European Stock wangemchagua nani?!