Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikusahihishe tu Mkuu,Nimeona niwaulize wale Malaya kwa mujibu wa nyerere wale wanaohama vyama kuunga mkono juhudi je?
Mnamkumbuka
Ben rabiu saanane?
Asubuhi njema!!!
Hao wanaounga mkono wamejichimbia kaburi 2020 ndo wataelewa umaarufu wao utaporomoka maradufu, ushawishi wao hautakuwapo tena na ubunge wataukosa watabak kuwa madaka wa kawaida tu wasio na impactNikusahihishe tu Mkuu,
Wale hawaungi mkono tu, bali wanaunga mwili mzima. Manake kama wanajipeleka wazima wazima hapo uwezi kuita mkono tu.
Inaumiza sana😱😱😱😥