GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Kule kwetu watu wenye chawa walikuwa wakijisikia aibu, lakini nasikia huko kwenu ni ufahari kuwa na chawa wengi!
Kule kwetu tulikuwa tukuzichemshia maji nguo zenye chawa, lakini nasikia huko kwenu mnazilisha na kuzihudumia vizuri!
Kule kwetu tulikuwa tukikosa usingizi chawa wakivamia vitanda vyetu, lakini nasikia huko kwenu wanawafanya mlale usingizi mnono!
Kule kwetu chawa walipatikana kwa watu wachafu, lakini nasikia huko kwenu mnawatengeneza kwa makusudi!
Kikwetu, kuwa na chawa ni uchafu, aibu, na fedheha! Ni tofauti kabisa na ninyi mnaoona fahari kuwa nao!
Ni nini mlichogundua kwa chawa kilichowapelekea kuwapenda?
Kule kwetu tulikuwa tukuzichemshia maji nguo zenye chawa, lakini nasikia huko kwenu mnazilisha na kuzihudumia vizuri!
Kule kwetu tulikuwa tukikosa usingizi chawa wakivamia vitanda vyetu, lakini nasikia huko kwenu wanawafanya mlale usingizi mnono!
Kule kwetu chawa walipatikana kwa watu wachafu, lakini nasikia huko kwenu mnawatengeneza kwa makusudi!
Kikwetu, kuwa na chawa ni uchafu, aibu, na fedheha! Ni tofauti kabisa na ninyi mnaoona fahari kuwa nao!
Ni nini mlichogundua kwa chawa kilichowapelekea kuwapenda?