GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Chawa wa MamaKule kwetu watu wenye chawa walikuwa wakijisikia aibu, lakini nasikia huko kwenu ni ufahari kuwa na chawa wengi!
Kule kwetu tulikuwa tukuzichemshia maji nguo zenye chawa, lakini nasikia huko kwenu mnazilisha na kuzihudumia vizuri!
Kule kwetu tulikuwa tukikosa usingizi chawa wakivamia vitanda vyetu, lakini nasikia huko kwenu wanawafanya mlale usingizi mnono!
Kule kwetu chawa walipatikana kwa watu wachafu, lakini nasikia huko kwenu mnawatengeneza kwa makusudi!
Kikwetu, kuwa na chawa ni uchafu, aibu, na fedheha! Ni tofauti kabisa na ninyi mnaoona fahari kuwa nao!
Ni nini mlichogundua kwa chawa kilichowapelekea kuwapenda?
Kuwa chawa ni wezi na waporaji😅Kule kwetu watu wenye chawa walikuwa wakijisikia aibu, lakini nasikia huko kwenu ni ufahari kuwa na chawa wengi!
Kule kwetu tulikuwa tukuzichemshia maji nguo zenye chawa, lakini nasikia huko kwenu mnazilisha na kuzihudumia vizuri!
Kule kwetu tulikuwa tukikosa usingizi chawa wakivamia vitanda vyetu, lakini nasikia huko kwenu wanawafanya mlale usingizi mnono!
Kule kwetu chawa walipatikana kwa watu wachafu, lakini nasikia huko kwenu mnawatengeneza kwa makusudi!
Kikwetu, kuwa na chawa ni uchafu, aibu, na fedheha! Ni tofauti kabisa na ninyi mnaoona fahari kuwa nao!
Ni nini mlichogundua kwa chawa kilichowapelekea kuwapenda?
Hiyo picha inatisha sana. Kawakosea nini hao watu wenye hasira kali?Ni hatari kwa afya ya binadam, na huku kwetu wana adhibiwa kikatili kama hivi...☹️
Kosa lake ni chawa mkubwa huyo...🤣Hiyo picha inatisha sana. Kawakosea nini hao watu wenye hasira kali?
Binafsi nina allergy na chawa na ndiyo maana nawawinda kina Mwijaku, Baba Levo, Dotto Magari na Steve Nyerere niwaogeshe maji ya moto au kuwachoma kabisa moto nikiwaona.Kule kwetu watu wenye chawa walikuwa wakijisikia aibu, lakini nasikia huko kwenu ni ufahari kuwa na chawa wengi!
Kule kwetu tulikuwa tukuzichemshia maji nguo zenye chawa, lakini nasikia huko kwenu mnazilisha na kuzihudumia vizuri!
Kule kwetu tulikuwa tukikosa usingizi chawa wakivamia vitanda vyetu, lakini nasikia huko kwenu wanawafanya mlale usingizi mnono!
Kule kwetu chawa walipatikana kwa watu wachafu, lakini nasikia huko kwenu mnawatengeneza kwa makusudi!
Kikwetu, kuwa na chawa ni uchafu, aibu, na fedheha! Ni tofauti kabisa na ninyi mnaoona fahari kuwa nao!
Ni nini mlichogundua kwa chawa kilichowapelekea kuwapenda?
CCM UJUMBE WENU NA CHAWA WENUKule kwetu watu wenye chawa walikuwa wakijisikia aibu, lakini nasikia huko kwenu ni ufahari kuwa na chawa wengi!
Kule kwetu tulikuwa tukuzichemshia maji nguo zenye chawa, lakini nasikia huko kwenu mnazilisha na kuzihudumia vizuri!
Kule kwetu tulikuwa tukikosa usingizi chawa wakivamia vitanda vyetu, lakini nasikia huko kwenu wanawafanya mlale usingizi mnono!
Kule kwetu chawa walipatikana kwa watu wachafu, lakini nasikia huko kwenu mnawatengeneza kwa makusudi!
Kikwetu, kuwa na chawa ni uchafu, aibu, na fedheha! Ni tofauti kabisa na ninyi mnaoona fahari kuwa nao!
Ni nini mlichogundua kwa chawa kilichowapelekea kuwapenda?