Mnaoishi store njooni

Mnaoishi store njooni

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
38,920
Reaction score
44,970
Je, ni haki kumwambia mtu anaishi store ilihali yupo kwenye chumba safi kabisa, kitanda safi, meza ya jiko safi, masofa safi, ndoo za maji zimepangiliwa vizuri, kimeza cha sebule cha kulia cha kula safi, pikipiki inabanwa kwenye kona safi, vyombo vya jikoni vimepangwa safi, kabati la nguo limebanwa vizuri kwenye kon, halafu wewe uje kusema anaishi store?

Ni haki hiyo?
 
Kuishi chumba kila kitu humo humo nadhani imewapa wengi msukumo wa kutamani kuishi na kuwa na nyumba zao,ni msingi mzuri wa maisha.

Mimi siku ya kwanza nilipohama nyumba ya familia kuhamia chumba cha kupanga kwanza kule kuingiliana kwa kila kitu na wapangaji wenzangu kulinikinaisha usiku wa pili kulala mule nikawaza namna ya kujikwamua, miezi mitatu mbele nikanunua kiwanja mwaka uliofuata nikaanza ujenzi.

Ni maisha tu yanakuwaga hivyo usitake kuwa na chumba na sebule kufurahisha watu hiyo gharama ya sebule ikusanye ongeza ufanye utaratibu wa kuwa na kwako, kibongo bongo chumba kimoja ni the best kwa mtu anayewaza zaidi ya leo.
 
Je, ni haki kumwambia mtu anaishi store ilihali yupo kwenye chumba safi kabisa, kitanda safi, meza ya jiko safi, masofa safi, ndoo za maji zimepangiliwa vizuri, kimeza cha sebule cha kulia cha kula safi, pikipiki inabanwa kwenye kona safi, vyombo vya jikoni vimepangwa safi, kabati la nguo limebanwa vizuri kwenye kon, halafu wewe uje kusema anaishi store?

Ni haki hiyo?
Mnaoishi stop huwa mna hasira, kila kitu mnalaumu na walalamishi Sana kama wewe hapo.
 
Je, ni haki kumwambia mtu anaishi store ilihali yupo kwenye chumba safi kabisa, kitanda safi, meza ya jiko safi, masofa safi, ndoo za maji zimepangiliwa vizuri, kimeza cha sebule cha kulia cha kula safi, pikipiki inabanwa kwenye kona safi, vyombo vya jikoni vimepangwa safi, kabati la nguo limebanwa vizuri kwenye kon, halafu wewe uje kusema anaishi store?

Ni haki hiyo?
Wewe ni WA store
 
Je, ni haki kumwambia mtu anaishi store ilihali yupo kwenye chumba safi kabisa, kitanda safi, meza ya jiko safi, masofa safi, ndoo za maji zimepangiliwa vizuri, kimeza cha sebule cha kulia cha kula safi, pikipiki inabanwa kwenye kona safi, vyombo vya jikoni vimepangwa safi, kabati la nguo limebanwa vizuri kwenye kon, halafu wewe uje kusema anaishi store?

Ni haki hiyo?
Inshi kulingana na uwezo wako, usiishi kwa kufata matakwa ya mtu, utafungwa kwa madeni
 
Back
Top Bottom