Mnaojua kuhesabu siku bado zile siku 7 walizotoa wazee wetu hazijaisha?

Mnaojua kuhesabu siku bado zile siku 7 walizotoa wazee wetu hazijaisha?

Ziliisha,ila Simba ikipoteza au kutoa droo tena tunalianzisha upyaaa.
 
Sisi kama wazee, lengo letu lilikua ni kutokea chideoni tu, hayo mengine mumetunukuu vibaya.
Mkuuu,nje ya mada.unatoaga simulizi murua kabisa,Kuna kisa nilisoma huku nikafurahi.
Km unavyo vingine leta Tena bwashe.
Shukrani
 
Back
Top Bottom