GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Nitawadharau na kuwapuuza mno Watu ambao wanajiita ni wa Mpira halafu leo wakapoteza kabisa muda wao kwenda Uwanja wa Taifa kutizama mechi ya Kombe la Klabu Bingwa Afrika baina ya Yanga SC ya Tanzania dhidi ya St. Louis ya Shelisheli wakati tayari matokeo tunaojua mpira tumeshayajua kwamba leo Yanga SC itashinda kati ya Goli Saba ( 7 ) hadi Tisa ( 9 ) na ikiwezekana hata Goli Kumi ( 10 ) na kwamba utakuwa ni mchezo wa upande mmoja tu.
Ukitaka kutizama mpira bora na kuburudika ili hata usiboreke na kujutia kupoteza Pesa yako basi ni matumaini yangu makubwa wale Wenzangu tunaojua mpira ( Wadau wakubwa wa Soka la Bongo / Tanzania ) Kesho tutajazana na kujitokeza kwa wingi wetu kabisa kwenda kuitizama mechi ambayo nina uhakika itakuwa nzuri na yenye mvuto wote kati ya Simba SC ya Tanzania dhidi ya Gendamarie FC ya Djibouti.
Mnaopanga kwenda Taifa leo nawashauri okoeni Pesa zenu ili mkaitizame Simba SC Kesho Taifa.
Nawasilisha.
Ukitaka kutizama mpira bora na kuburudika ili hata usiboreke na kujutia kupoteza Pesa yako basi ni matumaini yangu makubwa wale Wenzangu tunaojua mpira ( Wadau wakubwa wa Soka la Bongo / Tanzania ) Kesho tutajazana na kujitokeza kwa wingi wetu kabisa kwenda kuitizama mechi ambayo nina uhakika itakuwa nzuri na yenye mvuto wote kati ya Simba SC ya Tanzania dhidi ya Gendamarie FC ya Djibouti.
Mnaopanga kwenda Taifa leo nawashauri okoeni Pesa zenu ili mkaitizame Simba SC Kesho Taifa.
Nawasilisha.