Mnaokaa nje ya nchi kwanini mnawakataa wenzenu?

Mnaokaa nje ya nchi kwanini mnawakataa wenzenu?

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
25,258
Reaction score
48,589
Hellow africa

Nauliza hivi kwanini watz mnao ishi uko nje ya Tanzania wenzenu wakija mnawakataa kabisa kama sio mtz mwezio

Kuna rafiki yangu alipewa connection uko marekan kafika pale kumbe ile ofis ina wabongo kama 5 baada ya kujuana kutokana na utambulisho alio toa boss wao wale wenzie wakawa wanamtenga kiani akienda kuuliza kuhusu kazi apewe maelekezo kuwa inafanyajwe wanamuelekeza juu kwa juu ili aboronge akiboronga boss anamuelekeza vizur kabisa

Sasa kaishi ivyo mpaka alipokuja kujua kuwa hawataki shobo akaacha mazoea kabisa sasa juzi kapata likizo kaja bongo wale majamaa wanamuagiza vitu apeleke kwa ndugu zao mimi sikumficha nilimwambia wakatalie kabisa

Mtu akikataa shobo muonyeshe wewe pia utaki now wanamlalamikia mshikaji et anakinburi
 
Muache awapelekee wanavyomuagiza "Adui yako akiwa na Kiu mnyweshe, akiwa na njaa Mlishe."

Anapaswa kutumia Hiyo kama fursa ya kuwaonesha kwamba siyo mtu wa Visasi na chuki.
 
Muache awapelekee wanavyomuagiza "Adui yako akiwa na Kiu mnyweshe, akiwa na njaa Mlishe."

Anapaswa kutumia Hiyo kama fursa ya kuwaonesha kwamba siyo mtu wa Visasi na chuki.
Ase mimi no
 
Kila mmoja alikata ticket yake sasa ya nini kuhangaika na watu ambao hata wao walikata zao?

Hapa ukijifanya muungwana na kuwazoea watakuwekea mpaka madawa.

Usiamini mtu usiemjua kwa undani zaidi ya ndugu wa karibu

Hata kama ni jamaa muelekeze njia akijua ashike 50 zake.

Wewe uliza wenye nchi tu kama unaona wanazingua.

Na hakuna mazoea na watu usiowajua eti kwa sababu mmetoka nchi moja especially bongo
 
Ila wanasemaga mkiwa office moja ni kama ndugu japo utakiw kumuamin kila mtu
 
Najua katika masuala ya kazi kuna kuelekezana, kama mtu hakupata orientation nzuri, wazoefu huwa hawabanii ujuzi kwa mgeni, sasa has Watanzania wenzetu vipi?

Kama sio kubaniana kulikozieleka baina ya WaTz ndani ya Tz yenyewe, sioni la ziada. Na kama kila mtu la lwake, mbona wanataka kumpa mizigo?
 
Najua katika masuala ya kazi kuna kuelekezana, kama mtu hakupata orientation nzuri, wazoefu huwa hawabanii ujuzi kwa mgeni, sasa has WaTz wenzetu vipi? Kama sio kubaniana kulikozieleka baina ya WaTz ndani ya Tz yenyewe, sioni la ziada. Na kama kila mtu la lwake, mbona wanataka kumpa mizigo?
Shida ni roho mbaya tu
 
Najua katika masuala ya kazi kuna kuelekezana, kama mtu hakupata orientation nzuri, wazoefu huwa hawabanii ujuzi kwa mgeni, sasa has WaTz wenzetu vipi? Kama sio kubaniana kulikozieleka baina ya WaTz ndani ya Tz yenyewe, sioni la ziada. Na kama kila mtu la lwake, mbona wanataka kumpa mizigo?
Ni unafiki tu unawasumbua
Mtu hakupi michongo halafu anakupa mzigo
Hapo unampa na wewe makavu kuwa wewe sio courier service

Wenzetu wengine wanasaidiana sana ila sisi mpaka wanachomana
Kaa nao mbali
 
Ila wanasemaga mkiwa office moja ni kama ndugu japo utakiw kumuamin kila mtu
Hakuna kitu kama hicho
Kuna jamaa kajiendeleza vizuri sana kibiashara [emoji636] na aliajiri waswahili kibao akiona ni ndugu

Ila baadae yakawa majizi na wengi wavivu wanakuja mda wanaotaka kazini kisa ni mbongo mwenzao na wamezoeana.

Leo hataki hata kuwasikia ameajiri Ghanaians na Kenyans watupu

Ukimuona mbongo hapo ujue huyo ana heshimu kazi yake

Mswahili adui yake Mswahili
 
Wewe ndiyo hata uelewi nini kimeandikwa hadi mwisho, Shobo wanazo wao jamaa km mtu walimkatia, before kwann wanamtaka awapeleke mizigo wanafiki wao
Ndio na yeye asichukue mzigo wa mtu na wala hakuna kuaga mtu kua unasafiri hayo ndio maisha ya mamtoni. Unasafiri unaenda na unarudi kimya kimya tu.
 
Back
Top Bottom