Mnaokuatana faragha mjifunze kusitiriana hasa majirani/ndugu

Mnaokuatana faragha mjifunze kusitiriana hasa majirani/ndugu

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Leo nimeona nirudie tena

Kuna watu hawajui faragha ..Unapokutaana na jirani yako guest ukitoka sio lazima utangaze kwakila mtu

Hili la jana limeniumiza sana nilipokea simu sa tano nikamdhamini mtu kawe polisi

Ni kadada jirani yangu

Kufika nkauliza sababu nikaumia sana issue iko hivi(sio dili)

Mdada amepanga na rafiki yake chumba kimoja ..Kwenye huo ukuta kuna mdada x na mume wake chumba chao

Na mkaka y na gfriend wake chumba chao

Jaman mtafanya watu wasiende chukua dawa madada mwacheni umbea haya maisha tu...Mdada akaenda kwa mke wa x mumeo nimekutana nae sehemu tunachukua dawa akajibu kwani shida nn hata mdada y anatumia pia...

Mmh

Mdada akaenda kumuuliza dada y kumbe na wewe unatumia ,,akaulizwa nani kakwambia ? Mdada x amesema ...Mkono uliotembea wakafikishana polisi

Wote mabest ikabidi tudili na waume zao tumeenda kuyamaliza leo.

Mnapokutana faragha msitiriane jaman hata wale mnaona guest waume ama wake za watu awapendi ndoa zimekuwa changamoto ukikutana na mwingine anakupa penzi kama tuition yaani huna hela usomi lazima uhamie kwa vichenchede....

Happyfriday
 
Inaonekana ni stori nzuri sana, sema haieleweki. Hebu tulia uandike vizuri.
 
Hivi pdidy una elimu Gani!?

Huu mwandiko kwenye essay zako ulikuwa unaadika hivi!?

Aisee.
 
Hivi pdidy una elimu Gani!?

Huu mwandiko kwenye essay zako ulikuwa unaadika hivi!?

Aisee.
ukijua anaweza patikana mmoja tu baada ya kuungana watoto wa baba mkubwa mdogo mdogooowakee
 
Mnaosema hamjaelewa, mbona mpwa siku hizi ana mwandiko mzuri sana? 😅
 
Jifunze kwanza kuandika Kwa Spelling zilizojaa acha ujinga na utoto kuandika Dada badala ya Sasa.
 
Back
Top Bottom