Mnaokumbuka hii? Ilikuwa 12:00 Songea mpaka 12:00 Dar

Mnaokumbuka hii? Ilikuwa 12:00 Songea mpaka 12:00 Dar

Faana

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2011
Posts
38,657
Reaction score
44,759
19894578_1877064902614877_7550770208993650420_n.jpg
 
Giriki, konda ni ambele, giriki na taulo lake la kufutia jasho, walipoleta tochi na mabalaa yao akahamia zake kwenye lori, tuliopata kumfahamu giriki hajapata kutokea dreva wa viwango vyake, japo yuko kwenye lori hata trafiki hawamsumbui, wengi akisimama wanamwamkia anaondoka zake
 
Kiswele injini nyuma.. kitambo sana Mafinga ilikuwa inapita saa tano asubuhi ikitokea Dar. Ila jamaa walikuwa wanakimbiza balaaah. Ilanga Moto... Safina.... Tawakal.... Taqwa... Special coach.... Lupelo... Matema Beach n.k
 
Giriki, konda ni ambele, giriki na taulo lake la kufutia jasho, walipoleta tochi na mabalaa yao akahamia zake kwenye lori, tuliopata kumfahamu giriki hajapata kutokea dreva wa viwango vyake, japo yuko kwenye lori hata trafiki hawamsumbui, wengi akisimama wanamwamkia anaondoka zake
Ni mwaka gani mkuu? huyu dereva bado yupo road? naweza kupata mawasiliano yake?
 
Back
Top Bottom