Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Injini nyuma hii. Ikiendeshwa na Dereva mmoja machachari jina lake GIriki. Kama ni mwepesi wa kurudisha chenji kwenye kona basi kwenye kona za milima ya Lukumbulu inakuhusu.
Ni mwaka gani mkuu? huyu dereva bado yupo road? naweza kupata mawasiliano yake?Giriki, konda ni ambele, giriki na taulo lake la kufutia jasho, walipoleta tochi na mabalaa yao akahamia zake kwenye lori, tuliopata kumfahamu giriki hajapata kutokea dreva wa viwango vyake, japo yuko kwenye lori hata trafiki hawamsumbui, wengi akisimama wanamwamkia anaondoka zake
Yupo anapiga lori za congo hataki tena stress,Ni mwaka gani mkuu? huyu dereva bado yupo road? naweza kupata mawasiliano yake?
Hii ilikuwa mwishoni mwa miaka ya 80 na miaka ya 90 ilisumbua sana ligi ilikuwa Special Coach vs KisweleNi mwaka gani mkuu? huyu dereva bado yupo road? naweza kupata mawasiliano yake?
Ilimlazimu kutoka kwenye basi baada ya ile ajali ya Shabib yeye pamoja na marehemu Ally kilaweni aliyekuwa Zainab. Dereva wa Shabib alikuwa marehe RoshiYupo anapiga lori za congo hataki tena stress,
Naikumbuka hii, Roshi alikatika kichwaIlimlazimu kutoka kwenye basi baada ya ile ajali ya Shabib yeye pamoja na marehemu Ally kilaweni aliyekuwa Zainab. Dereva wa Shabib alikuwa marehe Roshi
Yes ni kweli, ile ajali ilikuwa mbaya sana mimi hicho kipindi nilikuwa Scandnavian nilikuwa na Gari ya marehemu Mzee Okala niliongozana nao ho jamaa sita sahau kwakweli, ilikuwa mbaya sana.Naikumbuka hii, Roshi alikatika kichwa