Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Kuna mishabiki ndani ya Simba, wao kila siku Saido akipangwa wanalalamika kuwa Saido mbinafsi, Saido mchoyo, anaikaba timu, cjui mganga wake kiboko, maneno mengi.
Leo Saido kawekwa benchi na gemu had half time ni suluhu.
Simba itashinda Saido akiingia uwanjani, huyu mwamba ni majini tu aliyotupiwa na utopolo lkn ana mchango mkubwa sana pale unyamani.
Leo Saido kawekwa benchi na gemu had half time ni suluhu.
Simba itashinda Saido akiingia uwanjani, huyu mwamba ni majini tu aliyotupiwa na utopolo lkn ana mchango mkubwa sana pale unyamani.