Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Tofautisha washangiliaji na mashabiki.Kuna mishabiki ndani ya Simba mingese sana, wao kila siku Saido akipangwa wanalalamika kuwa Saido mbinafsi, Saido mchoyo, anaikaba timu, cjui mganga wake kiboko, maneno ya kingese ngese mengi.
Leo Saido kawekwa benchi na gemu had half time ni suluhu.
Simba itashinda Saido akiingia uwanjani, huyu mwamba ni majini tu aliyotupiwa na utopolo lkn ana mchango mkubwa sana pale unyamani.
MAJINI FCMIKOLO YOTE NI MI MBUMBUMBU
Anaanguka mwenyewe au anachezewa faulo?.Na ni mara ngapi faulo anazochezewa zimeinufaisha timu.hebu jadili kama mwanamichezo badala ya ushabiki maandazi.Huuo mikson mwenyewe kuna ambao wanamuona mzigo.Aliye kuja kulainisha mechi ya leo ni Luis Miqison acha kututisha na kizee chako kinacho anguka hovyo hovyo.
Umeutofauti aina ya uchezaji na pressing ilivyokuwa angekuwa yy wasingepata vileKuna mishabiki ndani ya Simba, wao kila siku Saido akipangwa wanalalamika kuwa Saido mbinafsi, Saido mchoyo, anaikaba timu, cjui mganga wake kiboko, maneno mengi.
Leo Saido kawekwa benchi na gemu had half time ni suluhu.
Simba itashinda Saido akiingia uwanjani, huyu mwamba ni majini tu aliyotupiwa na utopolo lkn ana mchango mkubwa sana pale unyamani.
Hakuna mchezaji hapo acha kutetea utopolo.Anaanguka mwenyewe au anachezewa faulo?.Na ni mara ngapi faulo anazochezewa zimeinufaisha timu.hebu jadili kama mwanamichezo badala ya ushabiki maandazi.Huuo mikson mwenyewe kuna ambao wanamuona mzigo.
Sent using Jamii Forums mobile app