Mnaomiliki au wenye ujuzi na Gari la Volkswagen Touareg nawaomba

Mnaomiliki au wenye ujuzi na Gari la Volkswagen Touareg nawaomba

Master Legendary

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2013
Posts
576
Reaction score
876
Nahitaji msaada Mama yangu ameagiza VW Touareg Model ya kwanza 2002-2006,3.2 Engine V6. Ila cha kushangaza baada ya kutembea wiki 2 Taa ya Check Engine imewaka.

Ameenda kwa Mafundi wameiangalia wanasema haina tatizo ni mafuta ya Bongo ndiyo hayana Viwango, nataka kufahamu wenye Gari kama hizo na wao kama wanapitia tatizo kama hili?

Manake wameiondoa imekaa wiki 3 imewaka tena.
 
Nahitaji msaada Mama yangu ameagiza VW Touareg Model ya kwanza 2002-2006,3.2 Engine V6.
Ila cha kushangaza baada ya kutembea wiki 2 Taa ya Check Engine imewaka.

Ameenda kwa Mafundi wameiangalia wanasema haina tatizo ni mafuta ya Bongo ndiyo hayana Viwango,nataka kufahamu wenye Gari kama hizo na wao kama wanapitia tatizo kama hili?

Manake wameiondoa imekaa wiki 3 imewaka tena.
Sasa si watumie Diagnostic machine ndio itasema shida ni nini.., mafuta ya bongo kwani Touareg zingine zinatumia mafuta gani?
 
Fundi amesema mafuta ambayo siyo machafu yanapatikana kwenye vituo gani vya mafuta?

Au hakuna kabisa mafuta yasiyo machafu nchini?
 
Nina mashaka kama huyo Mama hakununua hiyo gari kwa ushawishi wa watoto, hayo magari haijalishi umelinunua used au jipya si rafiki na mafundi wa wababaishaji. Na hili ni angalizo kwa magari yote hata ya kijapan haswa ya kuanzia miaka ya 2000 kwenda juu. Mafundi wetu wengi hawapendi kujiongeza kutafuta maarifa yanayoendana na wakati, wengi bado wanaendeshwa na mfumo wa ubabaishaji katika ufundi wa magari.
 
Nahitaji msaada Mama yangu ameagiza VW Touareg Model ya kwanza 2002-2006,3.2 Engine V6. Ila cha kushangaza baada ya kutembea wiki 2 Taa ya Check Engine imewaka.

Ameenda kwa Mafundi wameiangalia wanasema haina tatizo ni mafuta ya Bongo ndiyo hayana Viwango, nataka kufahamu wenye Gari kama hizo na wao kama wanapitia tatizo kama hili?

Manake wameiondoa imekaa wiki 3 imewaka tena.

Samahani Naomba kuuliza aliagiza website gani?


Kuna site ni maarufu ila Zimeliza wengi
 
Back
Top Bottom