Shida kubwa tatu ya kwanza upatikanaji wa spea mgumu,ya pili upatikanaji wa mafundi .Waweza Pata miji mikuu nao wachache sana na Huwa hawataki Vizuri ukisafiri nalo mikoani likikuharibikia utaliweka kwenye mawe.Tatu yanaharibika upesi sababu ya barabara zetu mbovu.Hayajatengenezwa kuhimili changamoto ya barabara zetu kama za kwetu Afrika
Nne ulaji wa Mafuta yanakula Mafuta kama majini
sita mengi makubwa na marefu kwenye maeneo ya mijini yenye parking ndogo ndogo kuyapaki changamoto na uendeshaji wake barabara za vichochoroni laweza shindwa kuingia au kukata kona