Mnaomiliki na kutumia Volkswagen 'chuma ya mjerumani' ni gereji zipi mnafanyia service & repair? Popote pale nchini

Well, mkombozi amepatikana.
1) Hizi chuma za mjerumani sio kwamba zote ni perfect. Kuna generations korofi pia za ku avoid. The same kwa Toyota, honda n.k
2) Mafundi wengi bongo wababaishaji na watakuharibia chimbo chako usipokuwa makini.
3) Namna gani utaishi nayo ni suala lingine pia. Wengi hatujui

East_cars wamekuja na suluhisho. Hawa jamaa wanazunguka Tanzania nzima kufanya background check na partnership na garage zinazojielewa. Wana group lao telegram, members wanapata access na reviews za magari, recommended garages kwa mkoa uliopo, kujua generations zipi nzuri, namna ya kuishi nazo, experiences za members, ushauri n.k
Whether una gari, una plan ya kununua, una hobby na magari, hautojutia kujiunga na hii familia.
Instagram: @east_cars
YouTube: https://youtube.com/channel/UCRTVoQHdZzmWc7-cQxxAFHw
 
... kuna vitu kadhaa vinavyochangia watu "kufunga ndoa" na gari za mjapan; mosi, upatikanaji wake ni rahisi, pili, bei sio mbaya, tatu, hayo mawili ya kwanza yamepelekea spea kupatikana kwa urahis na be nafuu pia;

nne (muhim sana hii), upande wa uendesjaji wa Japan ni sawa na ilivyo kwa Tanzania, wanaendeshea kushoto kwa barabara hivyo usukani uko kulia. That means, ukiagiza gari iliyotumika Japan ni mkataba utapata RHD. Hili ni tatizo kwa gari zilizotumika Ulaya (except UK) nyingi ni LHD ambapo huzifanya zisiwe convenient sana kwa mazingira ya Tz.
 
Pasipo kuelezana wapi pa kupata spea na mafundi wazuri, hizi gari za mjerumani tutaendelea kuziogopa sana hapa bongo!
Chuma za Mjerumani siku hz Nyanya Sana. Yupo Mjerumani Mweusi hapo Sauzi anafyatua tu kama mwehu. Mercedes haielewek
 
Ni kweli, vitu Genuine ukienda kwa dealer wa Toyota ni bei ghali sana! Mfano shockup za miguu ya mbele za Allex niliambiwa 1.3M kwa pea, wakati huku mtaani ni laki na ishirini kwa zote mbili za mbele. So spea zisizo genuine kwa Toyota ni nyingi sana ndio zinaturahisishia maisha
 
Mkuu hizo shock up ni complete ama? Ni units tu? bila coil spring na kile kikofia chake? Ni KYB? Auto express wanauza 245,000-235,000 kwa unit moja inategemea na gari lako zipo hadi za 135,000 unit (bila coil spring)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…