Mnaomlaumu Amina Kyando mmesahau alichofanya Manyoto Ndimbo pale Nyamagana?

Mnaomlaumu Amina Kyando mmesahau alichofanya Manyoto Ndimbo pale Nyamagana?

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Ile Gemu pale Nyamagana Agosti 10, 1974, Yanga ilikuwa imefungwa lakini kutokana na kubebwa na Refa Manyoto Ndimbo ikaibuka na ushindi wa mchongo wa 2-1.

Amina kafanya makosa ya kibinadamu tu mnapiga makelele kama mnachinjwa. Jee mngeona utopolo alioufanya Manyoto Ndimbo mwaka 1974 pale Nyamagana kuibeba Yanga si ndiyo mngekufa kabisa 😏😏😏
 
Back
Top Bottom