ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Sijui niseme halmshauri zetu zimeshindwa hili suala la uzoaji takataka kwani miji mingi naona ni michafu sana na pia wananchi wenyewe wabishi kutoa hela za taka wajumbe wa halmshauri ya kijiji wanalalamikia hili.
So me naona japo ni suala dogo ambalo hata private sector inaweza kuifanya ikipewa tender ila naona hela Kwa watu wa mjini ikatwe tu juu Kwa juu aidha kwenye vocha au luku au hela ya maji kiasi kidogo hata 1000.
Kwa mwezi ikikatwa inatosha kabisa kuajiri watu na Shirika likafanya vizuri.
So me naona japo ni suala dogo ambalo hata private sector inaweza kuifanya ikipewa tender ila naona hela Kwa watu wa mjini ikatwe tu juu Kwa juu aidha kwenye vocha au luku au hela ya maji kiasi kidogo hata 1000.
Kwa mwezi ikikatwa inatosha kabisa kuajiri watu na Shirika likafanya vizuri.