Billie asa kama umefall na unataka K safi bac uiweke legally before the public yani mambo flani ya marriage certificate ukishamwoa si ndoo umemuwekea password ama , asa nyie men unamuwekea mtu password afu tena una log in kwa user mwingine sijui waga ni tamaa ama ndo kutaste bucha ipi inalipa dah yani