Hilo ni ghorofa kiongozi labda kwenye Tecno yako inaoneka ni jengo dogo sana [emoji276]
Akae anajua pia gorofa halina udogo!Milioni 80 ni nyingi kwa kuandika lakini kwa mahesabu ya ujenzi (ghorofa) basi hapo ni size yake.
Hapo kuna jamvi la ground floor na jamvi la first floor, ring beams na columns (hesabu saruji na vyuma hapo)
Hujaweka cement na mazagazaga kwenye foundation.
Window grills tayari, halafu bado unapiga kelele ya 80?
Milioni 80 ni nyingi kwa kuandika lakini kwa mahesabu ya ujenzi (ghorofa) basi hapo ni size yake.
Hapo kuna jamvi la ground floor na jamvi la first floor, ring beams na columns (hesabu saruji na vyuma hapo)
Hujaweka cement na mazagazaga kwenye foundation.
Window grills tayari, halafu bado unapiga kelele ya 80?
Kwahiyo nyie hapo mnaona ghorofa!Akae anajua pia gorofa halina udogo!
kwenye ujenzi mil 80 tena wa gorofa siyo hela ya kukaa mtu unalialia.
Ndiyo maana watu hawajengi gorofa hovyo, siyo kwamba hawataki, ila bajeti inabana.
Mfano ukiwa na mil 50 unaweza kujenga nyumba ya kawaida na ukahamia (ila haijakamilika finishing zote).
Tukija kwenye gorofa mil 50 ni kama hela ya siment na nondo peke yake.
Kwahiyo nyie hapo mnaona ghorofa!
Hata kama, hapo labda robo ya hiyo 80Milioni 80 ni nyingi kwa kuandika lakini kwa mahesabu ya ujenzi (ghorofa) basi hapo ni size yake.
Hapo kuna jamvi la ground floor na jamvi la first floor, ring beams na columns (hesabu saruji na vyuma hapo)
Hujaweka cement na mazagazaga kwenye foundation.
Window grills tayari, halafu bado unapiga kelele ya 80?
Hilo ni ghorofa mkuu inategemea una simu gani kiongozi [emoji276]ni kama vile mpira ukitazama kwenye Tv inchi 14 ni tofauti kabisa na ukitazama inchi 60,huyu wa inchi 14 atalalamika wachezaji ni wadogo sana