Mnaonunua malaya wa Telegram mna moyo

Weka location, mpaka uulizwe unakuwaje bwana?
 
Yaani wanatumia ARV lakini bado wamelazwa hawajiwezi?

Sasa nini faida ya ARV?
 
1. Ukamshukuru "mungu" kukuokoa na uchafu!! Mkuu labda tufafanulie hapo, unakusudia mungu yupi hasa anayekusaidia kwenye ujinga kama huu?

2. Kwa hiyo unashauri watu watafute malaya wa wapi kama hao wa telegram anatoa kinyaa? Unadhani malaya wapi watakuwa wako peke yako?

Kununua makahaba na kushabikia ujinga huu ni dalili kuwa wewe si mwanamume kamili. Mwanamume kamili hutawala hisia zake, haishi maisha ya kiruka njia.
 
Kuna kipindi Niko chuo nikipata nyege hatar, nikatoka kwenda kusaka changu, nilifika kwenye pub Moja na Jamaa yangu tukamchek muhudumu wa kiume ambaye alikua kwenye jiko la chips anivutie changu nikampoza Jamaa na 3k. Basi Malaya kaja tukakubaliana 20k bao mbili show time, haoo akaniongoza kwa ndani ya ile pub Kuna vyumba vya kupangisha na pia kulikua na kachumba kadogo ka show time ndipo aliponipeleka uko. Ile naingia tu my God!!! Chumba kidogo, kina harufu Kali na Kuna kigodoro kidogo kichafuuu, nikamwambia apa apana chumba bei gan? Akasema 10k nikavuta 10k nikamwambia kalipie akaenda. Sasa bwana ile tumeingia chumban Malaya kavua suruali na chupi kwa pamoja nikasemaa leoo ndo Leo, bas nimepanda nae kitandan kashika nanilii yangu akasema ongeza 5k nikunyonye nikamwambia sawa basi akanipa blowjob, akaendelea nayo sasa akapiga deep throat mzee mzima nikazidiwa nikacheua vitu kwa mdomo wake aseee nilitukanwa tusi hata sijawah kulisikia ndo ilikua mara ya kwanza naliskia bas akaingia toilet ku safisha kinywa amerud nikaomba radhi nikambiwa "unakojo* apa unadhani choo hiki?? Bwanaangu ndo anaweza fanya ivyo" nikamwambia mbona nimekuomba radhi lkn, bas akanijibu "la kwanza ilo" nikamwambia sawa akatoa kondom kanivalisha kuingiza chin nimepiga kama tak* 4 kitu ikapasuka akaniskuma kwa nguvu akanikoromea "ukiingiza acha kuchomoa yote nje, we vipi" basi nikawa mpolee akanivalisha nyingine lakini nilitiana kwa hofu sana sikuez ata kukojoa akalalamika kama mara 3 mwisho wa cku akasepa zake. Baada ya apo kesho nikarud chuo, nilikaa kwa stress kubwa mnoo semester nzima, nikawa natoka majimaji kwenye abdala kichwa wazi nikaenda hospitali nikapewa dawa nikatumia kichwa kikawa kinatoaa maganda baada ya yale majimaji kukauka aseee Kila baada ya wiki 2 nikawa naenda kupima ngoma hospitali tofauti tofauti mpaka semester ikaisha, nimeanza semester ya pili baada ya mwezi tena nikapima nikawa Niko fresh sasa nikajiamini hapa Niko salama. Ila kipindi chote icho nlikua Sina rahaa kabisaa. Nikasemaa hiyo ndo itakua mara ya kwanza na ya mwisho kununua Malaya. Asee wazee achaneni kununua Malaya ukimwi upo !!!
 
Hakuna demu Malaya Wala mwanaume Malaya mwenye Nuru.. umalaya na ukahaba na usherati huondoa Nuru ya mtu.. tunu hutunukiwa alie bora.. ukijiingiza kwenye uasherati na uraibu wowote ule mungu hukuondoa Nuru yako
Umesemaa kweli kbsaaaa...maisha yanahitaji Sana utulivu wa nafsi na akili
 
Cutemomo
 
Mkuu fanya mpango ukaoe kawe mke wa pili kbsaπŸ˜‚
 
πŸ˜‚πŸ˜‚ Hapa Umetisha Sana mkuu, yaani nimecheka utadhani mazuri
 
Samahani Mpwayungu hapo kwenye laki sijaelewa vizuri, unakaa naye wiki au ndio unaondoka naye jumla.
Kumbuka huku Handeni mbuzi mzima anayetembea nikimuuza napata elfu 40 mpaka 50.
 

So sad my peoples are destroyed by lacking of knowledge Hosea:4:6
πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mara nyingi huwaga sipendi kuchangiaga ujinga....
Kupitia hizi shuhuda vijana wanapata mafunzo...
Natamani niweke kitu hapa ila
Story yako Ina taka ku resemble na yangu...
Baada ya hapo nikatundikaga daluga...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…