Mnaonunua malaya wa Telegram mna moyo

Sambaza upendo mzee nina safari ya mwanza
 
Umeongea pointi chuo zilikuwa tabia zangu hizi naingia online naimbisha
.

Halafu hawa wadudu ukianza kuwala unapata uraibu kwakweli unakuwa addict[emoji1787]


Malaya 10000 lazima awe mbovu
Inaonekana wewe si mzoefu wa kununua malaya, kuna machimbo ambayo malaya wa elf 10 ni pisi hatari Tena msafi, eg chimbo kama sinza kona baa, ingawa pale wachache ndio pisi, Hasa ubahatishe wageni MLEVi Mmoja
 
Mkuu walimu wetu wanaweza chukua hao wa laki 2 au wataishia kwenye buku 2 tu
 
Uji
 
Badilika, maisha unayoishi sio sahihi.
 
Dah! Mkuu laani matendo yao ila kamwe usimtukane wala kumdharau mwenzako. Aisee! Nisawa na kipindi kile walichosema mwanamke mzinzi apigwe mawe mpaka afe ila Yesu akawaambia asiyena dhambi awe wa kwanza kumtupia huyo mwanamke jiwe. Be careful aisee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…