Mnaosema dini ni biashara mnakosea. Biashara ina manufaa kwa pande 2. Kama utanufaika upande 1 tu huo ni utapeli sio Biashara

Mnaosema dini ni biashara mnakosea. Biashara ina manufaa kwa pande 2. Kama utanufaika upande 1 tu huo ni utapeli sio Biashara

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Biashara maana yake muuzaji anafurahi kuuza bidhaa yake huku akiweka kibindoni faida yake, while mteja akifurahia bidhaa ya thamani halisi.

Kama mbele ya safari mteja akigundua kuwa ameuziwa bidhaa bandia au isiyo thamani halisi ya pesa yake hali hiyo tutaiita utapeli. Na huo utapeli ndio hufanyika makanisani.

Mimi ni mkristo. Mlokole na nina misimamo yangu thabiti ila UKWELI ni kwamba haya makanisa ya kilokole mengi yanaendeshwa kitapeli. Sio ya kilokole tu hata haya makanisa mengine yamejaa mifumo ya kitapeli.
Muumini usipoitumia akili yako vizuri kulitazama neno la Mungu utatapeliwa huku ukifurahi.

2007 wakati nakwenda shule nje ya mkoa wetu nilisindikizwa na braza. Wakati nisharipoti shule na yeye anarudi aliuziwa madini na wahuni kwa sh.300k na simu yake ya gharama akawapa.

Alirudi nyumbani kwa furaha, aliishi kwa furaha kwa miezi kadhaa akijua ashaaga umaskini. Braza huwa ana vichenji na hana haraka, aliposema sasa ngoja nikachukue mamilioni kwa kuuza dhahabu sijui almasi zangu ndipo akakutana na mauzauza.

Kwakuwa alishatangaza kuwa ashatoboa maisha kwa majirani zake akaona hana la kuwaambia akaenda bank kuvunja kibubu akajenga nyumba yake ili aonekane kweli kapata mamilioni ya madini lakini mwisho wa siku UKWELI ulikuwa wazi kuwa alitapeliwa.

Utapeli wa kiimani mbaya sana kuliko utapeli mwingine wowote.
 
Religion is a programming system for collecting money from those who are vulnerable to the concept of God.

Religion is a legalized scam.

Dini ni Utapeli ulio idhinishwa na kupewa kibali.

When all people shall be wise in divine terms, Those False prophets and religious leaders who feed on the ignorance of multitude will go hungry.
 
Religion is a programming system for collecting money from those who are vulnerable to the concept of God.

Religion is a legalized scam.

Dini ni Utapeli ulio idhinishwa na kupewa kibali.

When all people shall be wise in divine terms, Those False prophets and religious leaders who feed on the ignorance of multitude will go hungry.
Ni mtihani sana.
Watu wanapigwa pesa daily kwasababu ya ulofa
 
Biashara maana yake muuzaji anafurahi kuuza bidhaa yake huku akiweka kibindoni faida yake, while mteja akifurahia bidhaa ya thamani halisi.

Kama mbele ya safari mteja akigundua kuwa ameuziwa bidhaa bandia au isiyo thamani halisi ya pesa yake hali hiyo tutaiita utapeli. Na huo utapeli ndio hufanyika makanisani.

Mimi ni mkristo. Mlokole na nina misimamo yangu thabiti ila UKWELI ni kwamba haya makanisa ya kilokole mengi yanaendeshwa kitapeli. Sio ya kilokole tu hata haya makanisa mengine yamejaa mifumo ya kitapeli.
Muumini usipoitumia akili yako vizuri kulitazama neno la Mungu utatapeliwa huku ukifurahi.

2007 wakati nakwenda shule nje ya mkoa wetu nilisindikizwa na braza. Wakati nisharipoti shule na yeye anarudi aliuziwa madini na wahuni kwa sh.300k na simu yake ya gharama akawapa.

Alirudi nyumbani kwa furaha, aliishi kwa furaha kwa miezi kadhaa akijua ashaaga umaskini. Braza huwa ana vichenji na hana haraka, aliposema sasa ngoja nikachukue mamilioni kwa kuuza dhahabu sijui almasi zangu ndipo akakutana na mauzauza.

Kwakuwa alishatangaza kuwa ashatoboa maisha kwa majirani zake akaona hana la kuwaambia akaenda bank kuvunja kibubu akajenga nyumba yake ili aonekane kweli kapata mamilioni ya madini lakini mwisho wa siku UKWELI ulikuwa wazi kuwa alitapeliwa.

Utapeli wa kiimani mbaya sana kuliko utapeli mwingine wowote.
Kote kote wananufaika
1.Wanufaika wanatumia majengo ya dini pia kwa manufaa yao.
2.Mashirika mengi ya dini yana hospital,zahanati,shule zinawasaidia waumini na wasio waumini.
3.Mashirika mengi ya ibada,wamejenga visima vya maji,maeneo mbali,wanufaika ni waumini na wasio waumini.
4.Yapo mashirika ya dini yana gari za wagonjwa,wanufaika ni wa umini na wasio waumini.
5.Watu wengi wa dini,wanawatembelea wagonjwa,na kuwasaidia pesa za matibabu,dawa,chakula,vipimo na mahitaji mengine kwa wasio na ndungu na wasio na uwezo.
.6.Mashirika mengi ya dini,yanalea na kusomesha watoto mayatima
7.Wanatumia majengo ya dini kufunga ndoa.
8.Wanandoa wanapata ushauri wa kuishi katika ndoa.
9.Wanapewa ushauri wa kuishi na majirani zao vizuri.
10.Wanapewa maelekezo nini cha kufanya na nini chakutofanya katika maisha.
11.Badala ya mda huo kuutumia kwenye mambo yasio na manufaa,wanatumia kwenye nyumba za ibada.
12.Na mingine mengi,ambayo wewe usiyeshiriki,huwezi kuyajua wala kuyaelewa
 
Religion is a programming system for collecting money from those who are vulnerable to the concept of God.

Religion is a legalized scam.

Dini ni Utapeli ulio idhinishwa na kupewa kibali.

When all people shall be wise in divine terms, Those False prophets and religious leaders who feed on the ignorance of multitude will go hungry.
Yes, Absolutely ✅
 
Kote kote wananufaika
1.Wanufaika wanatumia majengo ya dini pia kwa manufaa yao.
2.Mashirika mengi ya dini yana hospital,zahanati,shule zinawasaidia waumini na wasio waumini.
3.Mashirika mengi ya ibada,wamejenga visima vya maji,maeneo mbali,wanufaika ni waumini na wasio waumini.
4.Yapo mashirika ya dini yana gari za wagonjwa,wanufaika ni wa umini na wasio waumini.
5.Watu wengi wa dini,wanawatembelea wagonjwa,na kuwasaidia pesa za matibabu,dawa,chakula,vipimo na mahitaji mengine kwa wasio na ndungu na wasio na uwezo.
.6.Mashirika mengi ya dini,yanalea na kusomesha watoto mayatima
7.Wanatumia majengo ya dini kufunga ndoa.
8.Wanandoa wanapata ushauri wa kuishi katika ndoa.
9.Wanapewa ushauri wa kuishi na majirani zao vizuri.
10.Wanapewa maelekezo nini cha kufanya na nini chakutofanya katika maisha.
11.Badala ya mda huo kuutumia kwenye mambo yasio na manufaa,wanatumia kwenye nyumba za ibada.
12.Na mingine mengi,ambayo wewe usiyeshiriki,huwezi kuyajua wala kuyaelewa
Hakuna msaada wowote wanao tupa shule tuna garamia sisi waumini tena kodi zao zipp juu sana , hizo hospitali hawatutibu bure tunalipia, inshort hao niwapigaji ila wamejificha kwenye mwamvuli wa dini
 
Biashara maana yake muuzaji anafurahi kuuza bidhaa yake huku akiweka kibindoni faida yake, while mteja akifurahia bidhaa ya thamani halisi.

Kama mbele ya safari mteja akigundua kuwa ameuziwa bidhaa bandia au isiyo thamani halisi ya pesa yake hali hiyo tutaiita utapeli. Na huo utapeli ndio hufanyika makanisani.

Mimi ni mkristo. Mlokole na nina misimamo yangu thabiti ila UKWELI ni kwamba haya makanisa ya kilokole mengi yanaendeshwa kitapeli. Sio ya kilokole tu hata haya makanisa mengine yamejaa mifumo ya kitapeli.
Muumini usipoitumia akili yako vizuri kulitazama neno la Mungu utatapeliwa huku ukifurahi.

2007 wakati nakwenda shule nje ya mkoa wetu nilisindikizwa na braza. Wakati nisharipoti shule na yeye anarudi aliuziwa madini na wahuni kwa sh.300k na simu yake ya gharama akawapa.

Alirudi nyumbani kwa furaha, aliishi kwa furaha kwa miezi kadhaa akijua ashaaga umaskini. Braza huwa ana vichenji na hana haraka, aliposema sasa ngoja nikachukue mamilioni kwa kuuza dhahabu sijui almasi zangu ndipo akakutana na mauzauza.

Kwakuwa alishatangaza kuwa ashatoboa maisha kwa majirani zake akaona hana la kuwaambia akaenda bank kuvunja kibubu akajenga nyumba yake ili aonekane kweli kapata mamilioni ya madini lakini mwisho wa siku UKWELI ulikuwa wazi kuwa alitapeliwa.

Utapeli wa kiimani mbaya sana kuliko utapeli mwingine wowote.
Na shida au tofauti ya utapeli huu ni kwamba hata umueleze vipi mtapeliwa kua anatapeliwa hawezi kukuelewa.
 
Na shida au tofauti ya utapeli huu ni kwamba hata umueleze vipi mtapeliwa kua anatapeliwa hawezi kukuelewa.
Anatapeliwa huku anachekea.
Kwa kuhani Mussa kuna ada ya laki 2 ukitaka kumuona kuhani Musa kwa haraka.
Yaani hiyo wanaiita fast track .
Ukicash tu chap huyu hapa
mama D aje apinge nije nifunue maozo mengine ikiwemo kuwapa watu buku 20 ili watoe shuhuda feki.
Nitawataja wahusika , mahali wanakoishi na kiasi cha fedha walichopewa.
 
Anatapeliwa huku anachekea.
Kwa kuhani Mussa kuna ada ya laki 2 ukitaka kumuona kuhani Musa kwa haraka.
Yaani hiyo wanaiita fast track .
Ukicash tu chap huyu hapa
mama D aje apinge nije nifunue maozo mengine ikiwemo kuwapa watu buku 20 ili watoe shuhuda feki.
Nitawataja wahusika , mahali wanakoishi na kiasi cha fedha walichopewa.
Watu wanajiita majina mazito tu kama mitume au manabii. Mpaka yule mmama Zumaridi wa Mwanza akaamua kusema yeye ndio mungu mwenyewe. Na wafuasi wake wanaamini.

Yaani mungu anaenda hedhi, anashika mimba, anafanywa, dah. Shida sana kwa kweli.

Kenya nako kuna Yesu wa Tongereni na ana wafuasi wake wanaomuamini pia.
 
Watu wanajiita majina mazito tu kama mitume au manabii. Mpaka yule mmama Zumaridi wa Mwanza akaamua kusema yeye ndio mungu mwenyewe. Na wafuasi wake wanaamini.

Yaani mungu anaenda hedhi, anashika mimba, anafanywa, dah. Shida sana kwa kweli.

Kenya nako kuna Yesu wa Tongereni na ana wafuasi wake wanaomuamini pia.
Huko Uganda kuna Yohana Mbatizaji
 
Back
Top Bottom