Mnaosema kwamba mke hachunguzwi piteni hapa

Hapo mwishoni kumenipoza moyo maana unaandika Kama una PHD ya literature. Kuna wale jamaa wetu waliambiwa Tanzania got independence in 1963 wakaitikia yes yes, kisa walishindwa kucorrect kwa English...

Anyway uandishi mzuri sana. All in all usipende kumchunguza mwenza wako. Once you marry umejitoa fully, hata ukiambukizwa na Ukimwi, you deserve it. In short oa alie na akili kidogo. Mimi mwenyewe kuna vitu nakutana navyo kwenye simu ya my Queen Ila namezea kibabe. Kuna misemo kizuri kula na wenzio, na mwingine, mwanamke hachungwi. Amini. Kwanza wanawake kuwafumania ngumu sana, they are too careful. All in all tunaishi nao hivyo hivyo, kujenga familia, as long as umeacha mbegu duniani, maisha yanasonga.

-callmeGhost
 
Hivi humu hakuna kitengo cha tafsiri?
 
Safi
 
Upumbavu mtupu kichwa umetumia kiswahili ndani kiingereza ushamba ulioshiba huu

Kwa hiyo avatar yako, I can conclude that kama boss wako ni Phd holder lakini ni zero brain, ww ni nani kama siyo mpuuzi mmoja?
 
Matango na makaroti. Sasa kumbe wanawake wakiyaona sokoni au kwenye FRIJI huyatamani jamani.!
 
Hivi hii lugha unasoma kuanzia juu au chini!!, maana kiarabu kinaanzia kulia kwenda kushoto...
 
I didn't understand the headline, make it in English as well please.

M'mbavu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…