Mnaosema kwamba mke hachunguzwi piteni hapa

Jinga sana hili jamaa haliwezi kupiga machine anakwenda kuweka kamera, ili iweje zaidi amevuna alichopanda huwezi kuweka kamera ili kumchunguza mke wako utegemee kuona mbuzi wanafanya mapenzi
 
narudia soma mara 4 nisipoelewa saizi naachana nao kuna ishu nyingi muhimu za kufanya.
 
mkuu umetumia hyo lugha ya watu kusumbua akili zetu utadhan ada za shule ulikuwa unatulipia wewe.....
Huu uzi watu wameupitia mbali mana wameona kizungu zungu tu..
Pole Kiongozi. Ila wale wanananga wenzao kuwa hawajui kiinglishi uwafikie ujumbe wako.
 
Umefanya la maana kuandika "source of your story" maana huwa sipendi kuona Mtanzania kuwatesa wenzako hasa hapa kwenye Lugha za kigeni.... Tundumishe lugha yetu na tupinge utumwa wa Lugha za kigeni..

Niludi kwenye mada, Jamaa nae alivumiliaje kukaa muda mrefu bila kumwambia mkewe upuuzi anaofanya au ndio upendo wa dhati huu, ningekuwa Mimi hakiyanani siku ya kwanza tu angeliona timbwili
 
For your own risk, but is not bad thing to spy, especially for someone you wanna trust more as your partner.

Trust without evidence is blind
 
Jinga sana hili jamaa haliwezi kupiga machine anakwenda kuweka kamera, ili iweje zaidi amevuna alichopanda huwezi kuweka kamera ili kumchunguza mke wako utegemee kuona mbuzi wanafanya mapenzi
Idiot
 
Wanakula fangasi tu Ila beki tatu wanaingiza Sana wanaume ndani hasa boda boda!!!

Uyo mke fala unalaza mwamme kwenye kitanda Cha mwanaume wako

Ningemkata kichwa Mimi!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…