Pole Kiongozi. Ila wale wanananga wenzao kuwa hawajui kiinglishi uwafikie ujumbe wako.mkuu umetumia hyo lugha ya watu kusumbua akili zetu utadhan ada za shule ulikuwa unatulipia wewe.....
Huu uzi watu wameupitia mbali mana wameona kizungu zungu tu..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]narudia soma mara 4 nisipoelewa saizi naachana nao kuna ishu nyingi muhimu za kufanya.
IdiotJinga sana hili jamaa haliwezi kupiga machine anakwenda kuweka kamera, ili iweje zaidi amevuna alichopanda huwezi kuweka kamera ili kumchunguza mke wako utegemee kuona mbuzi wanafanya mapenzi
Kama mimiMi hata sijasoma