Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
But hii ni minor case, what about vijiji vingine, nchi kubwa hiiKuna mtizamo hasi Kwa watanzania waishio mijini kwamba wananchi waishio Vijijini hawajui kama CCM haifai tena kuendelea kuongoza Tanzania.
Watu wengi hudhani kwamba wananchi wa Vijijini ndiyo wanaokwamisha harakati za kuitoa CCM madarakani.
Lakini video ya huyu Mwamba, inatupa taswira tofauti.
View attachment 3022950
Mimi Nina uzowefu wa Vijijini. Tatizo lao siyo kwamba wanaipenda CCM Bali tatizo hawajui tofauti kati ya CCM na Serikali.But hii ni minor case, what about vijiji vingine, nchi kubwa hii
Wewe unaona kuna tofauti Kati ya Serikali na CCM?Mimi Nina uzowefu wa Vijijini. Tatizo lao siyo kwamba wanaipenda CCM Bali tatizo hawajui tofauti kati ya CCM na Serikali.
Lakini pia wanadhani CCM siyo shida bali shida ni baadhi ya watu waliomo CCM. Si unamsikia anasema Hana shida na "mwalongo".
Wanashindwa kujua CCM ndiyo yenye mfumo mbovu wa kuongoza nchi.
ππππ€Wewe unaona kuna tofauti Kati ya Serikali na CCM?
Kuna mtizamo hasi Kwa watanzania waishio mijini kwamba wananchi waishio Vijijini hawajui kama CCM haifai tena kuendelea kuongoza Tanzania.
Watu wengi hudhani kwamba wananchi wa Vijijini ndiyo wanaokwamisha harakati za kuitoa CCM madarakani.
Lakini video ya huyu Mwamba, inatupa taswira tofauti.
View attachment 3022950
Shule za kata zinaenda kuizika CCM kabisaKuna mtizamo hasi Kwa watanzania waishio mijini kwamba wananchi waishio Vijijini hawajui kama CCM haifai tena kuendelea kuongoza Tanzania.
Watu wengi hudhani kwamba wananchi wa Vijijini ndiyo wanaokwamisha harakati za kuitoa CCM madarakani.
Lakini video ya huyu Mwamba, inatupa taswira tofauti.
View attachment 3022950
Umenena vema!Mimi Nina uzowefu wa Vijijini. Tatizo lao siyo kwamba wanaipenda CCM Bali tatizo hawajui tofauti kati ya CCM na Serikali.
Lakini pia wanadhani CCM siyo shida bali shida ni baadhi ya watu waliomo CCM. Si unamsikia anasema Hana shida na "mwalongo".
Wanashindwa kujua CCM ndiyo yenye mfumo mbovu wa kuongoza nchi.