SAYANSIKIMU
JF-Expert Member
- Feb 27, 2014
- 1,132
- 260
Tangia nimeanza hizi kozi naona masomo magumu kweli katika kusoma kwangu kote sina historia ya kukata tamaa lakini kwa hii kozi nahisi kukata tamaa kunamasomo magumu kweli computer architecture na cprogramming.Masomo haya nayasoma sana lakini nanusurika kufeli nawekeza juhudi nyingi lakini wapi sipendi ku sapp wala kubreak.Lakini Mbona Masomo Haya magumu kwangu.Hivi nyie mnaosoma degree ya computer science haya masomo mnayasomaje wenzangu nisaidiane jamani naona mambo magumu maana wakati mwingine nafikiria kuachakozi hii lakini nikiangalia maisha ya mtaani magumu sasa sijui nifanyaje.JAMANI NAULIZA HIVI NYIE AMBAO MLICHUKUA DEGREE MLISOMAJESOMAJE MPAKA MKAHITIMU SALAMA NISAIDIENI KWA USHAURI WENU TAFADHALI.