Mnaotafuta waume

Fact:[emoji45] [emoji116]

90% ya Wanaume au wanawake wanaoogopa kutuma picha kwa wenye Nia nao,

Ndo wale wale ambao hawajiamini kuhusu sura au maumbile yao Kwenye maisha ya kawaida.

Hafurahii kabisa wanapojitizama Kwenye kioo na kijuiona JINSI vile Muumba amewajalia.

Wanaamini kua mwonekano wa sura zao au maumbile yao ndo yanawasababishia changamoto wanazopitia kwny mahusiano yao.

Wanasahau kua,
-Uzuri wa kitu unategemea na mtizamaji.
-utamu wa tunda unategemea na mlaji.

Tumefika hapa kwasababu ya
NADHARIA hizi zilizoenea ZA UNYANYAPAA Kwenye Jamii yetu kama
-sixpack,
-kibamia,
-chura ipo?,
-guu la bia,
-zigo la kuvunja chaga? N.K
 
Waache wandelee kuzeeka mtu akishakuambia hivyo piga chini aendelee kupambana na hali yake, hawajui kama sisi wanaume ni mpaka tuone sura tudhaminishe ndio mambo yaendelee.
 
Anataka kukupima tu wewe unaangalia sura au material kichwani
Kwa uzoefu wangu ni mara chache msicjana awe smart kichwani na awe mrembo narudia ni mara chache.
Warembo wengi kichwani ni wa kawaida au hakuna kitu kabisa.
Wenye akili wengi nao wamenyimwa vingi pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…