Umenichekesha sana mkubwa! Ni vema ukarudi shule..siku hizi kazi zote za maana..ni kushindanisha vyeti. Then uzoefu. then technical know who! Zamani tulikuwa tunaambiwa experience ndo muhimu...mwenzangu siku hizi experience inaagaliwa baada ya kuangalia cheti...We live in interesting times!