Mnaotaka maeneo ya biashara rangi 3 nauza eneo langu

Habari wadau nauza eneo langu la biashara rangi 3 nimelipia kodi miezi 4 nauza kwa laki moja na 20 lipo karibu na sheli ya puma jirani na dar live wanaotaka kuuza makava ya simu,viatu vya kiume na Jersey za mpira au juicy ya miwa karibuni
Fremu au eneo?
 
Eneo au fremu? N ambona tunaoangiana biashara za juisi ya miwa na makava ya simu?
 
Habari wadau nauza eneo langu la biashara rangi 3 nimelipia kodi miezi 4 nauza kwa laki moja na 20 lipo karibu na sheli ya puma jirani na dar live wanaotaka kuuza makava ya simu,viatu vya kiume na Jersey za mpira au juicy ya miwa karibuni
Picha tafadhali.
0757503034
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…