Mnaotamani Mbowe aachie uenyekiti, mnaweza kuja kumkumbuka ikitokea anarithiwa na kiongozi mwingine ambae hatokubali kuvumilia uonevu huu unaondelea

We jamaa hujielewi
Chama cha democrasia halafu hamtaki kuachie wengine.
Mkiambiwa ni chama cha undugu mtakataa. Wachaga bwana.
 
Je Magufuli akitaka kuongeza muda kwa kubadili katiba mtakataa wakati Mbowe alibadili katiba ili asizuiwe.
Acheni kudanganya watu Wakati ninyi hamna demo crasia.
 
Hata Magufuli ni rRaisi mzuri nashauri katiba ibadilishwe kama ilivyofanyika ya chadema ili asije Rais mbaya.
Njia mbadala zinafahamika ila siku akiingia kiongozi mwingine wa CHADEMA na atakaeamua liwalo na liwe,basi hizo mbinu zitakuwa wazi hata kwa vipofu na viziwi.
 
Unauhakika kuwa Mbowe sio pandikizi?
Badilika ndg. Achana na uchaga utawaua
Mapandikizi wanatengenezwa na hawana tofauti na wale walioasi upinzani kwa kisingizio eti cha kuunga mkono juhudi hivyo kila kitu kinawezekana as long as mna pesa za kununua watu au kuwapa vyeo na madaraka.
 
Kamanda akubali tu kuwaachia wengine nao waendeleze pale alipoishia. Hakuna asiyetambua mchango wake ndani ya chama hasa enzi za JK akishirikiana na makamanda wenzake. Ila kwa sasa mabadiliko ndani ya chama, hayakwepeki.

Anaweza akabakia tu kuwa mlezi/mzee wa chama. Nb:Mh.Sumaye naye hana sifa ya kumrithi ingawa amejipambanua kupigania demokrasia nchini.
 
Wachaga huwa hamuamini makabila mengine ndio maana mnaona Mchaga mwenzenu ndio sahihi.
Maduka yote ya wachaga wanaajiri wachaga wenzenu kisa tu makiasaka hamuwaamini.
Loooo
 
Hata Magufuli ni mzuri kama vipi aongezewe muda WA miaka 10 zaidi.
Acheni ubinafsi nyie wapinza I hamtafika popote
Hawa jamaa wana vichwa vibovu/vizito na zaidi huwa hawaoni mbali until it is too late!!

Dunia itawafunza na watajua kuwa upole na uvumilivu wa Mbowe ndio ulikuwa msingi wa amani na utulivu tulionao leo hii kisiasa.
 
Chadema kilikua kwa sababu ya udhaifu wa Raisi alietoka kutokana na ufisadi Tu.
Kwa sasa huyu aliepo ni kazi tu na wananchi sio wajinga wanaona ujue.
 
Wachaga huwa hamuamini makabila mengine ndio maana mnaona Mchaga mwenzenu ndio sahihi.
Maduka yote ya wachaga wanaajiri wachaga wenzenu kisa tu makiasaka hamuwaamini.
Loooo
Unanipaje kabila sio langu? Kwa hiyo hata wewe ukidhaniwa ni mhutu ni sawa?
 
Ficha upumbavu wako, onyesha hekima! That's all you should be told.
Sasa kama ccm wanatuchoma madole washindani wao, busara na hekima za mbowe zinatuelekeza tuwageuzie na tako la kushoto wachome vizuri mana yake hatuna cha kuwafanya na mbowe akiendelea kuwepo na uwepo wa ccm utaendelea kudumu.
 
Magufuli ni lazama atawale miaka 10 hii ni fact. Uenyekiti apewe Lisu na katibu mkuu Heche hawa ndio wenye uwezo wa new reform ya chama.
 
Kiukweli kwa hali iliyopo chadema mwenyekiti either lisu , au heche ndo wanafaa, ningesema lema ila lema hapana lumumba watakimbiana, halafu katibu mkuu mnyika aisee
 
Upuuzi mtupu ulioongelewa humu
 
Rudi shule uongeze uelewa hata zile za ngumbaru
 
Mbowe akiachia ngazi, chadema itakufa haraka sana, akiendelea na uongozi chadema itakufa taratibu, tunavhtaji wapinzani halisi sa hv waigizaji tumewachoka
In fact amefanya kazi nzuri sana kwa wakati wake. Cha muhimu sasa na yeye apumzike
 
Ndicho wanachokitafuta ili wahalalishe mauaji na mateso kwa wapinzani
 
Pandikizi Ni Sumaye

Ila Mbowe Apumzike Inatosha.

Umbogo Wa Mbowe Ndio Umetufikisha Apa Tulipo.

Kuna Watu Makini Ndani Ya Chadema Tundu Lissu, John Heche Na Wengine Wasio Na Makando Kando Ya Tuhuma !

Magufuli Anahitaji Mtu Aina Ya Lissu.
Nje ya mada: Hivi kwanini huwa unakuwa unapotea sana mara kwa mara. Hivi unajua napenda sana comments zako! Usiwe unapotea sana mkuu, na miss madini yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…