Mnaotangaza nafasi za ajira mkitoa namba zenu msisite kupokea

Mnaotangaza nafasi za ajira mkitoa namba zenu msisite kupokea

Iamwhoiamm

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2022
Posts
503
Reaction score
887
Humu jamiiforums jamani Kuna watu hawapo serious kabisa yaani haiwezekani mtu uweke post ya ajira kwamba unahitaji mtu wa fani Fulani unaweka namba yako ukipgiwa hupokei au unakata au ukipokea unasema nitakupigia badaye sijui nini, blah blah nyingi.

Kwahiyo naomba mnatangaza nafasi za ajira mkitoa namba zenu msisite kupokea Kwa sababu huo unakuwa ni utoto.
 
Fresh aisee mtu anapigiwa hapokei , MWINGINE kaandika KWENYE tangazo lake la ajira call/text WhatsApp hapatikani pia
 
Back
Top Bottom