Mnaotoka Mombo, Lushoto-hili tunda linaitwaje?

Majani ya tunda hilo kama yale majani ya temeke vile.
 
nyokwe se nkukankha nyokwe ni ninaako(mnaako)(mama yako) nyokwemvyaazi(mama yako mzazi) iwe umshaamba wahi huteia kishambaa cha shambaai

Weshu te mng'ambie uyo hangi ni mshambaa wahi?...
 
Wale wanaodhaniaga kuwa SUA ni chuo cha kata nadhani watakuwa na adadu sasa..! Yaani umeshusha classfication bila desa wala simbi..!
 
Starfruit kwa kizungu ama 'Mbilimbi ya kizungu' kwa Tanga mjini. Sio tunda la kiasili la Afrika, limetoka maeneo ya Asia kusini nasikia. Ni kama matufaa na mapichi yalivyo zagaa Lushoto ilhali si ya kiasili ya huko bali Ulaya.

DOKEZO: Ukilisaga tunda hili na pasheni kwenye blenda na kukamua juisi yake, ina ladha ilopooza na safi kuliko pasheni tupu.
 
mimi nayafahamu kama mbilimbi za kizungu na nimetengenezea sana Juice. Kwa upande wangu ilikuwa inanisaidia sana hata kwenye mechi on 6x6:
 
Dah ! hapo ulikuwa spidi ngapi, mkuu masopakyindi kila mara picha zako zinaonyesha maeneo ambayo huwa napita na spidi 145. travelling is my hoby,umenikumbusha mbali sana !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…