Mnaotufanyia figisu tusipate ajira za kudumu kwa hili mmefeli

Mnaotufanyia figisu tusipate ajira za kudumu kwa hili mmefeli

Mwizukulu mgikuru

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2021
Posts
5,715
Reaction score
13,739
Ndio hivyo tena hii ni 2025 ....

Napikiwa na naandaliwa na maji ya kuoga, kila mwaka napiga hatua moja mbele japo ndio hivyo kibishi sana alhamdulilah.

Nyie endeleeni kutusagia kunguni, endeleeni kutukandia kila mnapotuona tukija na bahasha zetu kwenye hizo ofisi za ndugu zenu au jamaa zenu

Wakenya wana msemo wao "Mungu sio kamau"

Riziki ya mtu hukadiriwa na Mungu tu sisi wengine tutabaki kuwa watazamaji
 
ndio hivyo tena hii ni 2025 .... napikiwa na naandaliwa na maji ya kuoga, kila mwaka napiga hatua moja mbele japo ndio hivyo kibishi sana alhamdulilah👐👐......nyie endeleeni kutusagia kunguni , endeleeni kutukandia kila mnapotuona tukija na bahasha zetu kwenye hizo ofisi za ndugu zenu au jamaa zenu, wakenya wana msemo wao " mungu sio kamau" .....riziki ya mtu hukadiriwa na mungu tu sisi wengine tutabaki kuwa watazamaji.
Hao watembelee majumbani mwao usiku umevaa mask washushie kipigo wakae nje ya ofisi hata mwaka wakirudi no wadhaifu hata unafiki hawawezi kuuwaza tena zaidi ya afya zao tu
 
Back
Top Bottom