Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 5,715
- 13,739
Hao watembelee majumbani mwao usiku umevaa mask washushie kipigo wakae nje ya ofisi hata mwaka wakirudi no wadhaifu hata unafiki hawawezi kuuwaza tena zaidi ya afya zao tundio hivyo tena hii ni 2025 .... napikiwa na naandaliwa na maji ya kuoga, kila mwaka napiga hatua moja mbele japo ndio hivyo kibishi sana alhamdulilah👐👐......nyie endeleeni kutusagia kunguni , endeleeni kutukandia kila mnapotuona tukija na bahasha zetu kwenye hizo ofisi za ndugu zenu au jamaa zenu, wakenya wana msemo wao " mungu sio kamau" .....riziki ya mtu hukadiriwa na mungu tu sisi wengine tutabaki kuwa watazamaji.
haina haja mkuu...kuvaa kimau umri huu sio ishuHao watembelee majumbani mwao usiku umevaa mask washushie kipigo wakae nje ya ofisi hata mwaka wakirudi no wadhaifu hata unafiki hawawezi kuuwaza tena zaidi ya afya zao tu
Sawa basi waroge mzee ,usiwe mnyonge maisha hayataki unyonge Kaka mkubwahaina haja mkuu...kuvaa kimau umri huu sio ishu
haina haja uchawi ninaoufahamu ni wa kujikinga na kuondoa nuksi na mashetani wanaotumwa kwa ajili ya kuharibu riziki za watu, sina muda wa kumroga mtu mimi....Sawa basi waroge mzee ,usiwe mnyonge maisha hayataki unyonge Kaka mkubwa
Mwamb nipe A B C D za kujikinga na kuondoa nuksi maan napata tab San mkuu.haina haja uchawi ninaoufahamu ni wa kujikinga na kuondoa nuksi na mashetani wanaotumwa kwa ajili ya kuharibu riziki za watu, sina muda wa kumroga mtu mimi....
Tunakaziw na mamb yetu adi hatuelew cha kufanyhaina haja uchawi ninaoufahamu ni wa kujikinga na kuondoa nuksi na mashetani wanaotumwa kwa ajili ya kuharibu riziki za watu, sina muda wa kumroga mtu mimi....
nicheki pmMwamb nipe A B C D za kujikinga na kuondoa nuksi maan napata tab San mkuu.