Mnaotumia bidhaa mpya ya microsoft ya windows 10 someni tena hapa mjue hatari inayowakabili

Wewe ni mgeni?
 
Hizo biti ni kwa wale wanaotumia PC zao kwenye maofisi labda na shughuli rasmi...

Lakini kuna wadau wanaohitaji environment tu ya windows kupiga mzigo, hawana hata habari na hizo new updates...

No even maofisi mengi sikuizi ya latest pc. Most of computer utazonunua kipindi hiki zina support windows 11
 
Hii Imewalenga sana wale wazee wa online

Sisi wacheza game & movie [emoji327] haituhusu
 
Official sawa ila ukiweka iso machine yoyote inaingia 11, Nina Vimeo kibao hapa vingine vya zaidi ya miaka 10 iliopita vina win 11
Kuna Acer TravelMate5730 hapa ya jamaa, mzigo wa 2009 una run windows 11 kama kawaida na uko chap.. Windows 11 kuna namna ukicheza nayo inainstall kwenye mashine nyingi tu kwenye bios za kizamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…