Mnaotumia hizi alama huwa mnamaanisha nini?

Mnaotumia hizi alama huwa mnamaanisha nini?

Farolito

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2018
Posts
12,001
Reaction score
27,175
Wakuu,
Kuuliza si ujinga. Kuna wana JF huwa wanatumia alama zifuatazo kwenye comments zao ila hua sielewi maana yake, naomba mnisaidie

1.rolleys:rolleys:rolleys

2.😀😀😀😀

3.😛😛😛

4.Cool:Cool:Cool

Nikikumbuka zingine nitaongezea

Ahsante.
 
Ingine hii ..🙂🙂🙂 🙂 🙂
 
Hizo ni emoji.

Mara nyingi ukitumia App ya jf ndiyo unaziona. Yaani mfano mtu kakoment emoji ya kamdoli kamegeuza macho wewe huku ndiyo unaona rolleyes:rolleyes.

Kuna mdau kasema watumia tecno ndiyo wataona hivyo. Sipo sure coz humu naingia na simu mbalimbali na zote zinaona hayo maneno. Ambacho nimehisi ni kwamba anayekua kakomenti emoji anakua ametumia browser na siyo app.

Ndiyo maana hata wewe ukiingilia kwa browser utaziona emoji zote na siyo maneno. Hata baadhi ya reactions kwenye app hauoni.
 
[emoji28][emoji28]navyo elewa mimi kuna simu zina tofautiana emoj..naweza kua nayo mimi ila wewe usiwe nayo au zika tofautiana kabsa..sasa kama huna unaona ayo
 
Hizo wanaziona wanaotumia techno,infinix,itel mkuu.
Naona unataka kuelekezwa namna ya kuzipata download CLASSIC KEYBOARD natumia Samsung na emoji zipo kama kawa ila ukitumia Samsung default keyboards sahau kuziona


maana,........... ni swala la uelewa na ufahamu wako tu ni kama KATUNI unatafsiri mwenyewe
 
Naona unataka kuelekezwa namna ya kuzipata download CLASSIC KEYBOARD natumia Samsung na emoji zipo kama kawa ila ukitumia Samsung default keyboards sahau kuziona


maana,........... ni swala la uelewa na ufahamu wako tu ni kama KATUNI unatafsiri mwenyewe
Hapana hua situmia hizo alama za wakina dada/mama/mabinti zina wenyewe hizo.
 
Hizo ni emoji.

Mara nyingi ukitumia App ya jf ndiyo unaziona. Yaani mfano mtu kakoment emoji ya kamdoli kamegeuza macho wewe huku ndiyo unaona rolleyes:rolleyes.

Kuna mdau kasema watumia tecno ndiyo wataona hivyo. Sipo sure coz humu naingia na simu mbalimbali na zote zinaona hayo maneno. Ambacho nimehisi ni kwamba anayekua kakomenti emoji anakua ametumia browser na siyo app.

Ndiyo maana hata wewe ukiingilia kwa browser utaziona emoji zote na siyo maneno. Hata baadhi ya reactions kwenye app hauoni.
Asante kwa maelezo mkuu
 
[emoji28][emoji28]navyo elewa mimi kuna simu zina tofautiana emoj..naweza kua nayo mimi ila wewe usiwe nayo au zika tofautiana kabsa..sasa kama huna unaona ayo
Ok
 
Wakuu,
Kuuliza si ujinga. Kuna wana JF huwa wanatumia alama zifuatazo kwenye comments zao ila hua sielewi maana yake, naomba mnisaidie

1.rolleys:rolleys:rolleys

2.😀😀😀😀

3.😛😛😛

4.Cool:Cool:Cool

Nikikumbuka zingine nitaongezea

Ahsante.
kwanza hapa unatumia pc na emoj zake mbaya so ni WIVU TU😎
 
😀😀😀😀😀😀 haya
Sawa chief.
tumblr_mun3v4HdfP1s5tztao1_r2_500.gif
 
Nimekumbuka ile thread ya Mara ya kwanza kupanda ndege. Ama kweli ushamba mzigo...!
 
Back
Top Bottom