Annonymous
JF-Expert Member
- May 9, 2013
- 688
- 1,126
Wana Jamvi, Habarini.
Nimekuwa nikijitahidi sana mwaka huu kutafuta fiber ya TTCL ofisini kwangu. Hii ni jambo ambalo nimehangaika nalo sana. Nimefika ofisi zao na wamesema niombeni mtandaoni. Nilijibu kuwa tayari nina maombi 17 yangu mwenyewe, na hizi ni order numbers. Waliniambia andika jina lako, namba ya simu, order number, na unakoishi. Kisha, nilipohoji kuhusu hatua inayofuata, walijibu kuwa mafundi wao watakuja kunihudumia, na nisubiri nyumbani.
Toka Januari hadi sasa ni Desemba, lakini bado sijaweza kufanikiwa kupata huduma hii.
Wakuu, nyie mmepambanaje hadi mmepata? Mbona mimi miezi 12 inakwisha lakini bado ngoma nzito? Japo nina namba za watu wa TTCL zaidi ya 20, kila mmoja ananiambia ni subiri.
Eneo la kufungiwa ni Dar es Salaam, wilaya ya Kinondoni, sehemu ** Inbox**
Mod ujumbe mmeubadirisha sana haukupaswa kuwa huo.
Inatakiwa kuonekana kuwa nmeenda mara nyingi na marabzote naambiwa nijaze form na kwenye karatasi ya wenye tatizo ambapo katika hyo karatasi najaza jina, order number, nakoishi na namba ya simu.
Maelezo ya mod yanaonesha nimeenda mara 1 wakati original message nimeeleza kuwa mara zote napoenda ofisini kwao (yaani zaidi ya mara moja)
Mod mnaharibu thread inakuwa sio yangu niliyoandika bali ni yenu ila anayeonekana ameandika ni mimi.
Yaani mnaharibu content kisha mnasingizia kuwa content ni yangu. Hii si sawa
Nimekuwa nikijitahidi sana mwaka huu kutafuta fiber ya TTCL ofisini kwangu. Hii ni jambo ambalo nimehangaika nalo sana. Nimefika ofisi zao na wamesema niombeni mtandaoni. Nilijibu kuwa tayari nina maombi 17 yangu mwenyewe, na hizi ni order numbers. Waliniambia andika jina lako, namba ya simu, order number, na unakoishi. Kisha, nilipohoji kuhusu hatua inayofuata, walijibu kuwa mafundi wao watakuja kunihudumia, na nisubiri nyumbani.
Toka Januari hadi sasa ni Desemba, lakini bado sijaweza kufanikiwa kupata huduma hii.
Wakuu, nyie mmepambanaje hadi mmepata? Mbona mimi miezi 12 inakwisha lakini bado ngoma nzito? Japo nina namba za watu wa TTCL zaidi ya 20, kila mmoja ananiambia ni subiri.
Eneo la kufungiwa ni Dar es Salaam, wilaya ya Kinondoni, sehemu ** Inbox**
Mod ujumbe mmeubadirisha sana haukupaswa kuwa huo.
Inatakiwa kuonekana kuwa nmeenda mara nyingi na marabzote naambiwa nijaze form na kwenye karatasi ya wenye tatizo ambapo katika hyo karatasi najaza jina, order number, nakoishi na namba ya simu.
Maelezo ya mod yanaonesha nimeenda mara 1 wakati original message nimeeleza kuwa mara zote napoenda ofisini kwao (yaani zaidi ya mara moja)
Mod mnaharibu thread inakuwa sio yangu niliyoandika bali ni yenu ila anayeonekana ameandika ni mimi.
Yaani mnaharibu content kisha mnasingizia kuwa content ni yangu. Hii si sawa