Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
Nmecheka tu ila tuache ubinafsi jaman khaa huyo mwanaume anakula huko kwa raha tu wew kukubusu tu uone kinyaa daah"Wanaume mnashauriwa mnapotubusu alafu mkashuka kusini kutula, tunaomba msipande juu kutubusu maana mnakuja na harufu kali.
Binadamu akila msosi husubiria nusu saa ndio anywe maji..
Muwe na ubinaadamu jamaa tunapenda kuliwa maana msosi kitu adimu sana ila tunaomba maji mnywe baadae"
.... Wolper Stylish
Hahahahhhh.....daaaaahhhh!!!!!!!!....kakulaa chote au kabakiza kipande???,"Wanaume mnashauriwa mnapotubusu alafu mkashuka kusini kutula, tunaomba msipande juu kutubusu maana mnakuja na harufu kali.
Binadamu akila msosi husubiria nusu saa ndio anywe maji..
Muwe na ubinaadamu jamaa tunapenda kuliwa maana msosi kitu adimu sana ila tunaomba maji mnywe baadae"
.... Wolper Stylish
wolper buana Mungu anamuonaaaNmecheka tu ila tuache ubinafsi jaman khaa huyo mwanaume anakula huko kwa raha tu wew kukubusu tu uone kinyaa daah
ahahahahaMimi ninayeenda kula kusini sisikii harufu, wewe kukurudia na kukubusu usikie harufu! Hebu acha hizo!!
ahahahaha nilisomaga physics longi!Just know that "For every action there is an equal and opposite re action"
sio kiafya rafikimoney penny ndo nani lakini.kuna raha yake wakati wakula unakunywa na maji kidogo chakula kiteremke vizuri
Huitaj physics kuelewa nnachomaanishaahahahaha nilisomaga physics longi!
wolper ndio kaandika instagramni nani huyo kakufanyia hvyo