Mnara wa Temeke umeshindwa Kuruhusu Simu ya Mwendawazimu kuwapigia Kilazima Watanzania

Mnara wa Temeke umeshindwa Kuruhusu Simu ya Mwendawazimu kuwapigia Kilazima Watanzania

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Minara ya Simu kutoka Afrika Kusini ndiyo huwa Imara sana.

Na ikitumika hapa ndani Spidi yake huwa ni ya Wastani, ila ikitumika Kwao Afrika Kusini hasa Mji wa Pretoria ndiyo huwa ina nguvu maradufu na haijawahi kushindwa kufanya Kazi ikiwa huko
 
JamiiForums1381953234.jpg
 
Mliambiwa Hii ni Yanga, Mamelodi hawezi kutamba hapa kwa Mkapa, mkaja na nadharia nyiingi sasa kikowapi!!
Hii sare ya bila magori ndio inayo enda kumuondoa mamelodi maana kule kwake lazima akurupuke ili kutafuta matokeo.
 
Sio vizuri kulogana humu jf kwanini watu mnakuwa sio wastarabu angalieni sasa😊😊
 
Minara ya Simu kutoka Afrika Kusini ndiyo huwa Imara sana.

Na ikitumika hapa ndani Spidi yake huwa ni ya Wastani, ila ikitumika Kwao Afrika Kusini hasa Mji wa Pretoria ndiyo huwa ina nguvu maradufu na haijawahi kushindwa kufanya Kazi ikiwa huko
hivi unazungumzia mnara wa simu kweli au haji manara?

Simba 1~0 Ahly
Mazembe 0~0 Petro
Yanga 0~ 0 Mamelod
Esparance 0~0 Asec

huu ni uonevu na fedheha ya kiwango cha juu mno katika kipindi hiki cha Pasaka, kwa soka la Tanzania, kwenye sura ya Africa na Dunia nzima 🐒

mnara au haji manara yuko wap hapo kwa mfano 🐒
 
hivi unazungumzia mnara wa simu kweli au haji manara?

Simba 1~0 Ahly
Mazembe 0~0 Petro
Yanga 0~ 0 Mamelod
Esparance 0~0 Asec

huu ni uonevu na fedheha ya kiwango cha juu mno katika kipindi hiki cha Pasaka, kwa soka la Tanzania, kwenye sura ya Africa na Dunia nzima 🐒

mnara au haji manara yuko wap hapo kwa mfano 🐒
🤔🤔🤔🤔🤔
Haya matokeo yanafikirisha sana
 
hivi unazungumzia mnara wa simu kweli au haji manara?

Simba 1~0 Ahly
Mazembe 0~0 Petro
Yanga 0~ 0 Mamelod
Esparance 0~0 Asec

huu ni uonevu na fedheha ya kiwango cha juu mno katika kipindi hiki cha Pasaka, kwa soka la Tanzania, kwenye sura ya Africa na Dunia nzima 🐒

mnara au haji manara yuko wap hapo kwa mfano 🐒
Maji yameanza kujitenga na mafuta mapema sana.
 
Minara ya Simu kutoka Afrika Kusini ndiyo huwa Imara sana.

Na ikitumika hapa ndani Spidi yake huwa ni ya Wastani, ila ikitumika Kwao Afrika Kusini hasa Mji wa Pretoria ndiyo huwa ina nguvu maradufu na haijawahi kushindwa kufanya Kazi ikiwa huko
Japo ni sikukuu ila utanisamehe, popoma hana haki kula sikukuu kwa amani na furaha.
1693938689267.jpg
 
Back
Top Bottom