mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Safi. Maana id yako imenikumbusha mbali kidogo. Kuna mama aliitwa mama Nyaso tulipokuwa shule ya msingi alikuwa anatuuzia mihogo Iliyopikwa na kuungwa mawese.kila mara,ni chakula kizuri sana ,ndio kila sehemu ndani ya jiji biashara ilio shamiri
Sent using Jamii Forums mobile app
Simba na Yanga zina wapenzi si chini ya 10m Tanzania nzima, hivyo kusema 2% tu ndio wanaoshabikia mpira si kweli.Mwanauchumu ahsante sana kupima maisha ya wantazania kwa kulinganisha na kiingilio cha machi ya simba......kwelili bado tuna safari ndefu sana ya watu kama nyie ni chini ya asilimia 2% ya Tanzania wanao shabikia mpila 98% hawajui kama ata nchini kuna ombe la Caf na simba inashiriki
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka kupenda timu au kushabikia timu sio kufuatilia timu kwa tunashabikia kwa mkumbo (band wogan) mfano bibi yangu kijijini anashabikia Yanga ila hajui ata jina la mchezaji moja wala hajawahi kuudhuria mechi yata moja Yanga maishani mwakeSimba na Yanga zina wapenzi si chini ya 10m Tanzania nzima, hivyo kusema 2% tu ndio wanaoshabikia mpira si kweli.
Ni suala dogo alihitaji kupasua kichwa kwa mara ya kwanza baada ya miaka mingi timu ya tanzania imefika katika level hii ya mashindano. Jana ilibidi tushangilie kwa wingi ili kuipa moyo timu ambayo tunaimani itatutoa kimasomaso kwenye michezo hii ya kimataifa.
Mwaka 2010 uwanja ulikuwa mpya kabisa Tanzania hatukuwahi kuwa na uwanja mzuri kama ule na Brazil wakaja lakini uwanja haukujaa, vipi maoni yako?Mimi naamini unajua unachokiongea ila umeamua tu kuchangamsha genge.... 2010 vs 2019 = gap la miaka 9, sasa sijui idadi ya watu bado ni ile ile kwa DSM...
Nimejibu hivyo kupinga kuwa 2% tu ndio wanajua nini kinaendelea kuhusu mpira na sio nani anaingia uwanjani. Kama umesahau umeandika ni 2% tu wanashabikia mpira.Kaka kupenda timu au kushabikia timu sio kufuatilia timu kwa tunashabikia kwa mkumbo (band wogan) mfano bibi yangu kijijini anashabikia Yanga ila hajui ata jina la mchezaji moja wala hajawahi kuudhuria mechi yata moja Yanga maishani mwake
Sent using Jamii Forums mobile app
Sikatai upenzi, watu wamekuwa wapenzi toka enzi na enzi lakini watu walikuwa hawajai zamani wakati pesa iko leo tunaambiwa hesa imepotea lakini watu wanajaa. Huoni kuna ukinzani?Kwa kiingilio cha buku 3 ndio unapima hali yetu ya maisha! Any way, kwa hulka ya mwanadamu, kuna vitu anavyovipenda huwa hayuko tayari kutovifanya, anaweza hata kuahirisha mlo wake wa siku ili apate anachokipenda. Wewe hukuwepo duniani enzi wavuta sigara wa Tanzania wakilipia 'pafu ' moja kwa shilingi 3! Hebu jiulize, sigara ina umuhimu gani?
Mkuu mimi niko tayari nisile ila niangalie mpira na kuna mwingine hapendi mpira ila yupo tayari asile ili atimize hamu yake, huwezi kupima kwa Sh 3000 hata asiekuwa na hela lazima angejichanga akaenda uwanjani ni bora angeleta hiyo mada kama kiingilio kilikuwa Laki.Kwa kiingilio cha buku 3 ndio unapima hali yetu ya maisha! Any way, kwa hulka ya mwanadamu, kuna vitu anavyovipenda huwa hayuko tayari kutovifanya, anaweza hata kuahirisha mlo wake wa siku ili apate anachokipenda. Wewe hukuwepo duniani enzi wavuta sigara wa Tanzania wakilipia 'pafu ' moja kwa shilingi 3! Hebu jiulize, sigara ina umuhimu gani?
Vv
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza kutuambia kiingilio kilikuwa kiasi gani 2014?Mkuu mimi niko tayari nisile ila niangalie mpira na kuna mwingine hapendi mpira ila yupo tayari asile ili atimize hamu yake, huwezi kupima kwa Sh 3000 hata asiekuwa na hela lazima angejichanga akaenda uwanjani ni bora angeleta hiyo mada kama kiingilio kilikuwa Laki.
Mkuu sasa hivi simba ni wajanja wamepunguza kiingilio ili watu waingine kuishangilia timu yao sio kama zamani, halafu siku zinavyozidi kwenda mashabiki wa Mpira wanaongezeka.Sikatai upenzi, watu wamekuwa wapenzi toka enzi na enzi lakini watu walikuwa hawajai zamani wakati pesa iko leo tunaambiwa hesa imepotea lakini watu wanajaa. Huoni kuna ukinzani?
Thamani ya shilingi kupanda na kushuka ni jambo la kawaida..hata hivyo mara nyingi thamani ya shilingi hupimwa kwa dola..na thamani ya dola itaendelea tu kupanda kadiri uchumi wa dunia unavyodilika..miaka kadhaa nyuma $/Tsh ilikuwa 1500 tu..mwenye nguvu akikua mdogo atashuka..Mtoa mada hata uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana, huwezi kupima uchumi wa nchi kwa watu kuingia uwanjani kuishangilia simba, uchumi wa nchi huangaliwa kwa maisha halisi ikiwemo thamani ya hela yetu kupanda, maisha bora kwa wananchi , ajira na mengineyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu licha ya hivyo kwa sasa hamasa imeongezeka Promotion ndio kila kitu Simba wenyewe wanajitahidi kutoka promo mapema pia wanatoa bei za kiliingilio mapema ili kila mtu ajiandaeUnaweza kutuambia kiingilio kilikuwa kiasi gani 2014?
Mkuu licha ya hivyo kwa sasa hamasa imeongezeka Promotion ndio kila kitu Simba wenyewe wanajitahidi kutoka promo mapema pia wanatoa bei za kiliingilio mapema ili kila mtu ajiandae
Hivi kuna uhamasishaji mkubwa uliowahi kufanyika zaidi ule wa timu ya Brazil kuja Nchini?Mkuu sasa hivi simba ni wajanja wamepunguza kiingilio ili watu waingine kuishangilia timu yao sio kama zamani, halafu siku zinavyozidi kwenda mashabiki wa Mpira wanaongezeka.