Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,340
- 4,659
nimeliona hili baada ya kuteuliwa hawa jamaa na je,hii presidency decree itakaa kwa muda gani?huwenda ni kwa mwaka mmoja but after election wamasai wanarudi kwenye maandamano.
but all in all,CCM wana wajinga wengi wa kufikiri,
but all in all,CCM wana wajinga wengi wa kufikiri,