[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Kwa hiyo unachanganywa na miandiko na avatar ya hawa wapya?
Kuna huyu mpya anaitwa Mishil nimekukabidhi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana dear!Hivi miandiko mizuri ipoje? Huu huu wa times new roman?
Ule uzi na ww unaupitiaga kumbe kigori?Hebu jaribu kuingia huko pm utupe mrejesho!!
Kwa kweli hata mimi napata wakati mgumu sana hasa kwenye ule uzi wa kula tunda kimasihara!! Kuna wakati kabisaa naona huu mwandiko mbona kama wa babe wangu jamaani!!! Ila ID sio yake!!
Sogoe mt bold...Hivi miandiko mizuri ipoje? Huu huu wa times new roman?
Bro huyu Mishil naye kumbe mpya?Kwa hiyo unachanganywa na miandiko na avatar ya hawa wapya?
Kuna huyu mpya anaitwa Mishil nimekukabidhi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ule uzi kumbe mnaupitia kimya kimya sio??!!!Hebu jaribu kuingia huko pm utupe mrejesho!!
Kwa kweli hata mimi napata wakati mgumu sana hasa kwenye ule uzi wa kula tunda kimasihara!! Kuna wakati kabisaa naona huu mwandiko mbona kama wa babe wangu jamaani!!! Ila ID sio yake!!
Huogopi kula matapishi yako mwenyewe?Nimeshakukabidhiwa...ole wako