Mnawachukuliaje madereva wanaopiga honi hovyo?

Mnawachukuliaje madereva wanaopiga honi hovyo?

Bavaria

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2011
Posts
53,092
Reaction score
53,496
Taa ya kijani imewaka tu, kuna mtu huko nyuma anaanza kupiga honi hovyohovyo.

Sehemu ambayo anaweza msubiri mwenzake apite, yeye ameshapiga honi.

Kuna cases nyingi nimeziona madereva wanapiga honi bila ya ulazima.

Binafsi naona ni watu waliokosa subira, wengine sidhani hata kama ni madereva sahihi wa kujua matumizi na mipaka ya kupiga honi.

Naudhika sana mtu anavyonipigia honi bila sababu ya msingi.

Wewe unawachukuliaje watu wa aina hiyo?
 
Taa ya kijani imewaka tu, kuna mtu huko nyuma anaanza kupiga honi hovyohovyo.

Sehemu ambayo anaweza msubiri mwenzake apite, yeye ameshapiga honi.

Kuna cases nyingi nimeziona madereva wanapiga honi bila ya ulazima.

Binafsi naona ni watu waliokosa subira, wengine sidhani hata kama ni madereva sahihi wa kujua matumizi na mipaka ya kupiga honi.

Naudhika sana mtu anavyonipigia honi bila sababu ya msingi.

Wewe unawachukuliaje watu wa aina hiyo?
Na unaweza kuta anaepiga honi yuko gari ya tano nyuma!
 
Taa ya kijani imewaka tu, kuna mtu huko nyuma anaanza kupiga honi hovyohovyo.

Sehemu ambayo anaweza msubiri mwenzake apite, yeye ameshapiga honi.

Kuna cases nyingi nimeziona madereva wanapiga honi bila ya ulazima.

Binafsi naona ni watu waliokosa subira, wengine sidhani hata kama ni madereva sahihi wa kujua matumizi na mipaka ya kupiga honi.

Naudhika sana mtu anavyonipigia honi bila sababu ya msingi.

Wewe unawachukuliaje watu wa aina hiyo?
Wewe umewachukuliaje? Hili nalo unakuja tukusaidie?
 
Taa ya kijani imewaka tu, kuna mtu huko nyuma anaanza kupiga honi hovyohovyo.

Sehemu ambayo anaweza msubiri mwenzake apite, yeye ameshapiga honi.

Kuna cases nyingi nimeziona madereva wanapiga honi bila ya ulazima.

Binafsi naona ni watu waliokosa subira, wengine sidhani hata kama ni madereva sahihi wa kujua matumizi na mipaka ya kupiga honi.

Naudhika sana mtu anavyonipigia honi bila sababu ya msingi.

Wewe unawachukuliaje watu wa aina hiyo?
Kama hujui faida ya honi nenda kafanye utafiti kwenye mwendo kasi DRT walifunga honi za Passo kwenye mabasi ajali ngapi zimetokea kipindi cha honi za Passo na sasa wamefunga honi kubwa ajali ngapi zimetokea toka wafunge?
 
Zile kwa ufupi huwa ni kelele, na usikubali zikuendeshe. Kama ana haraka apae juu. Ukisikiliza fujo za madereva wengine waweza jikuta unapata ajari
 
Mtoa mada: Wapiga honi mnawachukuliaje?

Me after installing snail horn: 😁Walituchelewesha sana...Pwoooooooh!!!
 
Ushamba tu wa kujifanya wana mambo mengi
 
Taa ya kijani imewaka tu, kuna mtu huko nyuma anaanza kupiga honi hovyohovyo.

Sehemu ambayo anaweza msubiri mwenzake apite, yeye ameshapiga honi.

Kuna cases nyingi nimeziona madereva wanapiga honi bila ya ulazima.

Binafsi naona ni watu waliokosa subira, wengine sidhani hata kama ni madereva sahihi wa kujua matumizi na mipaka ya kupiga honi.

Naudhika sana mtu anavyonipigia honi bila sababu ya msingi.

Wewe unawachukuliaje watu wa aina hiyo?
Hawana tofauti na wale wanaowajambisha wenzao.

Paaa!! Paaa!!paaaa!!

Wanaudhi sana.
 
[emoji16][emoji16][emoji16]
Mkuu hawa jamaa wa IST muda wote ni kutunishia misulu na madereva wengine Tu...
Nimeshuhudia mara kibao IST inatambiana na V8 mpaka nikajiuliza huyu Dereva ana akili sawasawa?
 
Back
Top Bottom