Mr kenice
JF-Expert Member
- Mar 15, 2022
- 4,260
- 7,033
Habar Wana Jf,
This year, tmeona mfumuko wa bei hasa kwenye mafuta,
Nazungumzia Cooking oil.
Siku zote nlikua nawaona WAKULIMA WA malighafi za uzalishaji mafuta ya kula wako nyuma sana, hasa kwenye bei wanazopewa na wawekezaji , lakini wazo langu kwa sasa lmefitika kwani Hawa jamaa Nawaona mbali sana hasa mwaka, zle konakona za kuwashushia bei mwka huu haztakuepo Kwan kuna uhitaji mkubwa sana wa mafuta ya kula so ni mda wao wa kujidai.
Najarb kuwaza TU hzi bodi za pamba mwaka huu ztakuwaje ama serikali yote itarud huko, na je bei za mafuta ztashuka???
Wacha ni court maendeleo hayana chama.
This year, tmeona mfumuko wa bei hasa kwenye mafuta,
Nazungumzia Cooking oil.
Siku zote nlikua nawaona WAKULIMA WA malighafi za uzalishaji mafuta ya kula wako nyuma sana, hasa kwenye bei wanazopewa na wawekezaji , lakini wazo langu kwa sasa lmefitika kwani Hawa jamaa Nawaona mbali sana hasa mwaka, zle konakona za kuwashushia bei mwka huu haztakuepo Kwan kuna uhitaji mkubwa sana wa mafuta ya kula so ni mda wao wa kujidai.
Najarb kuwaza TU hzi bodi za pamba mwaka huu ztakuwaje ama serikali yote itarud huko, na je bei za mafuta ztashuka???
Wacha ni court maendeleo hayana chama.