Mnawezaje kupambana na roho ya ubinafsi na chuki

Mnawezaje kupambana na roho ya ubinafsi na chuki

The Conscious

JF-Expert Member
Joined
Mar 18, 2021
Posts
740
Reaction score
1,218
Wakuu poleni kwa majukumu,
Hivi roho ya ubinafsi au chuki huwa tunazaliwa nayo au ni kutokana na mazingira tunayofanyia kazi na watu wanaotuzunguka.

Huwa inafika muda mtu anapata pesa watu wanachukia, wanaochukia siyo hata ndugu zako ni watu tu ambao hawana mchango wowote katika dhiki au mafanikio yako, watu wanapata wivu wa ajabu mpaka mtu unashangaa haya yote yanatokana na nini?

Wakuu, mwenye uelewa wa haya mambo naomba anieleweshe inakuaje watu huwa wanaumia unapofanikiwa wakati hakuna undugu wala mahusiano yoyote na anaye kuchukia
 
Chuki nisiraha pekee inayo kumaliza wewe kabla ya Adui yako.
Njia pekee yakushinda chuki,husda,kijicho nikuachilia.
(Manifestation)
Zaidi pia yamo mafundisho katika darasa zangu omba uanachama.
Nguvu ya fikra zetu.
Namba ipo kwenye picha hapo.
 

Attachments

  • IMG_20240510_093724_377.JPG
    IMG_20240510_093724_377.JPG
    116.9 KB · Views: 9
there is a spirit behind
inamfanya binadamu anakuwa hivo.. roho mbaya hatar
Ndiyo mkuu,sas hiyo spirit source yake inatoka wapi wakati watu tunazaliwa tukiwa pure kabisa
 
Wakuu poleni kwa majukumu,
Hivi roho ya ubinafsi au chuki huwa tunazaliwa nayo au ni kutokana na mazingira tunayofanyia kazi na watu wanaotuzunguka.

Huwa inafika muda mtu anapata pesa watu wanachukia, wanaochukia siyo hata ndugu zako ni watu tu ambao hawana mchango wowote katika dhiki au mafanikio yako, watu wanapata wivu wa ajabu mpaka mtu unashangaa haya yote yanatokana na nini?

Wakuu, mwenye uelewa wa haya mambo naomba anieleweshe inakuaje watu huwa wanaumia unapofanikiwa wakati hakuna undugu wala mahusiano yoyote na anaye kuchukia
Angalia yako.
 
Back
Top Bottom