Mnawezaje kusoma vitabu kupata maarifa bila kuchoka mapema?

Mnawezaje kusoma vitabu kupata maarifa bila kuchoka mapema?

Mia saba

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2022
Posts
255
Reaction score
390
Kusoma vitabu imekuwa ni moja Kati ya kazi ngumu kwa watu wengi, hivyo kupelekea kukosa maarifa mengi yanayopatikana kwenye vitabu.

Mfano. Mm mwenyewe nimeanza kusoma kitabu cha The monk who sold his ferar
Nimechoka kabla ata chapter moja kuisha.
Swali langu Ni

*Mnawezaje kusoma vitabu na huwa mnatumia utaratibu gani kupata maarifa hayo bila kuchoka mapema na kukielewa na kukimaliza chote.

#Naomba kushirikishana Kama Kuna mtu mwenye vitabu vyenye kuelezea masuala ya utendaji katika biashara kwa ujumla atusaidie kuongeza maarifa zaidi.

Hivi kwenye picha Ni mfano wa vitabu unakuta mtu kasoma ndani ya mda mfupi.

Natamani kujua zaidi ndo maana natafuta maarifa.

Natanguliza shukrani kwa wachangiaji wote

IMG_20210215_035814_801_1613351586457.jpg
 
Tumia maarifa uliyoyapata kutoka kwenye hivyo vitabu kutengeneza hela, bila kufanya hivyo itakuwa kama unasoma hadithi tu; wengi wamesoma hivyo vitabu na wakashindwa kuthubutu. Cha muhimu ni kuthubutu ili kupata uhalisia wa mazingira tuliyopo
 
Inatakiwa kila wakati ukipata muda wa kuwa idle fungua kitabu soma,kama kwenye bus fungua kitabu soma,umemaliza kula ule muda wa break ukisubiri chakula kishuke fungua kitabu soma kama mpenzi wa mitandao acha jipe ½saa au 1hr kupita huko kisha rudi kwenye kitabu inshot usikubali muda wako upotee bure.

Nimejiandikia tu kutokana na mwenyewe kusoma hivyo vitabu muda sina labda kitabu changu cha dini na ni usiku tu nafanya hivyo so kama ungetamani uwe msomaji mzuri wa vitabu tumia utaratibu huo hapo juu unaweza uka-fit.
 
Kusoma vitabu imekuwa ni moja Kati ya kazi ngumu kwa watu wengi, hivyo kupelekea kukosa maarifa mengi yanayopatikana kwenye vitabu.

Mfano. Mm mwenyewe nimeanza kusoma kitabu cha The monk who sold his ferar
Nimechoka kabla ata chapter moja kuisha.
Swali langu Ni

*Mnawezaje kusoma vitabu na huwa mnatumia utaratibu gani kupata maarifa hayo bila kuchoka mapema na kukielewa na kukimaliza chote.

#Naomba kushirikishana Kama Kuna mtu mwenye vitabu vyenye kuelezea masuala ya utendaji katika biashara kwa ujumla atusaidie kuongeza maarifa zaidi.

Hivi kwenye picha Ni mfano wa vitabu unakuta mtu kasoma ndani ya mda mfupi.

Natamani kujua zaidi ndo maana natafuta maarifa.

Natanguliza shukrani kwa wachangiaji wote

View attachment 2153104
Tafuta pesa wewe acha kuwajaza utajiri wauza vitabu
 
Utasoma vitabu wakati mke anahitaji Always , Mtoto anahitaji Pempers,mwenye nyumba anadai Kodi, Viatu kisigino kimesha pinda hivyo vitabu vitasomeka?Acheni utani na maishakusoma vitabu Ni shibe na Ni starehe!
 
Lugha kusoma vitabu vya kiingereza kunachosha sana akili. Ni kama tu kufanya kazi ngumu. Hilo linakatisha tamaa. Kitabu cha kiswahili unaweza kimaliza ndani ya siku moja tu.
 
Kusoma vitabu imekuwa ni moja Kati ya kazi ngumu kwa watu wengi, hivyo kupelekea kukosa maarifa mengi yanayopatikana kwenye vitabu.

Mfano. Mm mwenyewe nimeanza kusoma kitabu cha The monk who sold his ferar
Nimechoka kabla ata chapter moja kuisha.
Swali langu Ni

*Mnawezaje kusoma vitabu na huwa mnatumia utaratibu gani kupata maarifa hayo bila kuchoka mapema na kukielewa na kukimaliza chote.

#Naomba kushirikishana Kama Kuna mtu mwenye vitabu vyenye kuelezea masuala ya utendaji katika biashara kwa ujumla atusaidie kuongeza maarifa zaidi.

Hivi kwenye picha Ni mfano wa vitabu unakuta mtu kasoma ndani ya mda mfupi.

Natamani kujua zaidi ndo maana natafuta maarifa.

Natanguliza shukrani kwa wachangiaji wote

View attachment 2153104

The monk ni kitabu kizuri sana, mwanzo kilinishinda Kwa sababu wakati naanza kukisoma nilikuwa na mategemeo flan kichwani lakini mwandishi akaenda tofauti Kwa kujikita katika story kwanza na kuficha content. Kumbuka kibongo bongo Watu tumezoea ku list point au kusoma summary ya vitu na hapo ndo tunapoona vitabu vinachosha. Ok baada ya kuona kinaniboa nikaanza kingine titled psychology of money hiki nikakimaliza nikasoma Purple cow nikakimaliza then nikarudi Kwa monk. Nilichogundua ni kwamba unweza kukutana na unexpected content kwenye kitabu kikawa attractive au ukakiona hakifai. Kuepuka hili tafuta kitabu kingine soma then sometimes later unaweza kurudi kwenye kitabu ulicho ki skip .

Kuwa na vitabu vinne vitano alafu angalia interest yako ni nini na usiwe na majibu kabla hujaanza kusoma . Hii itakufanya usome vitabu vingi na imetokea kwangu sasa hivi at least kila siku najikuta nafungua vitabu nasoma bila kujali muda


Kwa sasa nipo na hiki View attachment 2153398
 
Tatizo kubwa hapo ni Attention span. Attention Span ni ule muda unaotumia kuwa attentive kwenye jambo moja bila ya akili yako kuhama kwenye jambo jingine. Jiulize kwa nini ukiwa unaangalia movie na smartphone yako pembeni unaweza ukapause movie ili uingie instagram maybe au youtube n.k
Teknolojia ya intaneti imeleta hilo tatizo, kama tunavyonua kizuri hakikosi kasoro.
Kitu cha msingi hapo hapo ni kupunguza matumizi ya internet kwa muda mrefu (Reducing screen time). Hili ndiyo litakuwa suluhisho la kudumu.
Vilevile kuweka simu ama kompyuta mbali wakati unasoma kitabu au kuweka silent kuepukana na kukatishwa na simu wakati wa kusoma kitabu.

The internet is evil.

Yeyote akipata muda apitie kitabu kinaitwa "THE SHALLOWS:
What the Internet Is Doing to Our Brains" cha NICHOLAS CARR.
 
Sio kila kitabu ni kwa ajili ya kila mtu.
Ukipata vitabu vyenye contents unazo zipenda hautakaa uchoke kuvisoma na ile dhana ya kuhesabu idadi ya vitabu ulivyosoma haitakuwa kwenye mawazo yako. Utajikuta umesoma vitabu vingi ambavyo idadi yake hauijui.
 
Tatizo kubwa hapo ni Attention span. Attention Span ni ule muda unaotumia kuwa attentive kwenye jambo moja bila ya akili yako kuhama kwenye jambo jingine. Jiulize kwa nini ukiwa unaangalia movie na smartphone yako pembeni unaweza ukapause movie ili uingie instagram maybe au youtube n.k
Teknolojia ya intaneti imeleta hilo tatizo, kama tunavyonua kizuri hakikosi kasoro.
Kitu cha msingi hapo hapo ni kupunguza matumizi ya internet kwa muda mrefu (Reducing screen time). Hili ndiyo litakuwa suluhisho la kudumu.
Vilevile kuweka simu ama kompyuta mbali wakati unasoma kitabu au kuweka silent kuepukana na kukatishwa na simu wakati wa kusoma kitabu.

The internet is evil.

Yeyote akipata muda apitie kitabu kinaitwa "THE SHALLOWS:
What the Internet Is Doing to Our Brains" cha NICHOLAS CARR.

Wabongo wengi wetu hatupendi Tu kujichosha na vitu vyenye seriousness

Mbongo mtumie text ndefu atakuambia fupisha siwezi kusoma ila mtu huyo huyo, yale magazeti ya mange anamusimulia neno kwa neno

Wabongo hawahawa walikuwa hawana muda wa kusoma magazeti ya mwananchi ila kwa uwasilishaji mwepesiii na wakimbeya wa Mange, hadi waswazi wa kwa mfuga mbwa walikuwa wanafuatilia siasa.. Ipo hivyo
 
Kusoma vitabu imekuwa ni moja Kati ya kazi ngumu kwa watu wengi, hivyo kupelekea kukosa maarifa mengi yanayopatikana kwenye vitabu.

Mfano. Mm mwenyewe nimeanza kusoma kitabu cha The monk who sold his ferar
Nimechoka kabla ata chapter moja kuisha.
Swali langu Ni

*Mnawezaje kusoma vitabu na huwa mnatumia utaratibu gani kupata maarifa hayo bila kuchoka mapema na kukielewa na kukimaliza chote.

#Naomba kushirikishana Kama Kuna mtu mwenye vitabu vyenye kuelezea masuala ya utendaji katika biashara kwa ujumla atusaidie kuongeza maarifa zaidi.

Hivi kwenye picha Ni mfano wa vitabu unakuta mtu kasoma ndani ya mda mfupi.

Natamani kujua zaidi ndo maana natafuta maarifa.

Natanguliza shukrani kwa wachangiaji wote

View attachment 2153104
Well ni kama walivyosema baadhi ya watu ila zaidi naweza sema na interest pia. Kila kitu kinahusiana na kila kitu kubwa tu ni kuwa na muda huru wa kuzama ndani ya mambo fulani fulani.
Nikupe mfano wangu mimi mwenyewe; ni shabiki mkubwa wa elimu; from finance books to botany (elimu ya mimea) huwa nazurula huko sana sasa huwa inafika muda nakuwa sipo mazingira rafiki ya kusema nipitie hard copies basi hapo hu'switch to soft copies au audiobooks (hapa ndipo nilipoanzaga kununua earphones za kueleweka na kuona faida yake). Trust me my dear, kama wewe ni miongoni mwa wale watu wanaweza sikiliza playlist ya up to an hour basi nashauri anza kuwa na audio books nyingi then slowly you'll found yourself between shelves one day[emoji4]

Good living.
 
Kusoma vitabu imekuwa ni moja Kati ya kazi ngumu kwa watu wengi, hivyo kupelekea kukosa maarifa mengi yanayopatikana kwenye vitabu.

Mfano. Mm mwenyewe nimeanza kusoma kitabu cha The monk who sold his ferar
Nimechoka kabla ata chapter moja kuisha.
Swali langu Ni

*Mnawezaje kusoma vitabu na huwa mnatumia utaratibu gani kupata maarifa hayo bila kuchoka mapema na kukielewa na kukimaliza chote.

#Naomba kushirikishana Kama Kuna mtu mwenye vitabu vyenye kuelezea masuala ya utendaji katika biashara kwa ujumla atusaidie kuongeza maarifa zaidi.

Hivi kwenye picha Ni mfano wa vitabu unakuta mtu kasoma ndani ya mda mfupi.

Natamani kujua zaidi ndo maana natafuta maarifa.

Natanguliza shukrani kwa wachangiaji wote

View attachment 2153104
Mie kitendo Cha kunywa soda masaa mawili huwa sijui wazungu wanawezaje aisee?

Au kuweka bia kwenye fridge zikae tu za wageni Yani huwa najikuta nimezigida zote nipo chakari.
 
Back
Top Bottom