Hatari sana mtu anakuambia najenga hidden kwakua nakwepa GHARAMA za upauaji alooo hizi akili ni hatariWatu bongo wanajenga kiujanja ujanja sana.
Utasikia hiyo bei kubwa njoo nikupe fundi wangu atakujengea sawa na bure🤣🤣🤣
Si achimbe shimo aishi?Hatari sana mtu anakuambia najenga hidden kwakua nakwepa GHARAMA za upauaji alooo hizi akili ni hatari
Pia hakuna mvua nyingi. Huko kwenye paa hata huwa wanaweka mikeka na kukaa. Ndiyo maana ya lile andiko la biblia linasema ni bora kuishi kwenye pembe ya paa kuliko kuishi na mwanamke mgomvi. Kuna watu kabisa walikuwa wanaishi kwenye hayo mapaa. Na kwenye zile wanaita sikukuu za vibanda Waisraeli walikuwa wanajenga vibanda juu ya paa. Sasa wabongo wameambiwa ni za kisasa wamezuzuka.sizipendi hata kuziona,naonaga ni nyumba za kiarabu na jangwani. na ndio asili yake huko. huko jangwani kuna upepo, hawaweki roof wakiogopa upepo utaanua.
Kwa uhakika zaidi bora nimpe kazi mchina kujenga hizo contemporary 🏠Fundi maiko ndio wanaofit kwenye bajeti zetu za kujibana bana hao wachina tutawaweza na mahowo na mazuchu yao?
Hii taswira ya kusema contemporary inapunguza garama ndo inafanya nyumba hizi zijengwe kwa ubora mdogo hapa tanzania. Kiukweli hizi nyumba si za kupunguza garama kwani lazma ukubaliane na uhalisia kuwa ili iwe katka ubora mzur uwekeze kwny system za drainage ya maji na mifereji mizur ya maji iliyojengwa kwa zege imara na duct za kutosha kwahio huwezi kubana bana zege lisiwepo la kutosha.KUBWA UKIACHA KUWA NA MVUTO ILA NASIKIA UJENZI HUO UNAPUNGUZA GHARAMA SANA.
NI UJENZI ULIOCHIPUKIA KWA KASI MIAKA HII LAZIMA UWE NA CHANGAMOTO KAMA HIZO HASA KWA KUWA MAFUNDI PIA NDIYO WANAJIFUNZA.
HII HAINA TOFAUTI NA KUPAUA ILE PAA LINAKUWA REFU SANA NI MITINDO YA SASA ILA NDIYO HIVYO INA KUJA NA ATHARI ZAKE.
Siri kubwa ya contemporary wanapofeli mafundi wengi ni kuetengeneza system ya maji iende sambamba na uwiano wa kiwango cha slope na kasi ya maji yanayokusanywa kwny paa. Hii inahitaji experience expertice wa hii kitu ukikurupuka tu ukamchukua fundi yoyote tu bila mtaalamu wa kukudesignia roof structure ya contemporary lazma ulie kilio cha simba aliyepigwa bao tanoKwa uhakika zaidi bora nimpe kazi mchina kujenga hizo contemporary 🏠
Tunapotaka kujenga contemporary kwa kuona km tunabana matumiz kulko nymb za kawaida ndo shida ila swala la kujenga sehemu yenye mvua zitaleta shida nakataa si kweli hapa hapa tanzania kuna mikoa ya kasakzini zimejengwa na mvua zinapiga balaa lkn hakuna tatizo lakuvujaPia hakuna mvua nyingi. Huko kwenye paa hata huwa wanaweka mikeka na kukaa. Ndiyo maana ya lile andiko la biblia linasema ni bora kuishi kwenye pembe ya paa kuliko kuishi na mwanamke mgomvi. Kuna watu kabisa walikuwa wanaishi kwenye hayo mapaa. Na kwenye zile wanaita sikukuu za vibanda Waisraeli walikuwa wanajenga vibanda juu ya paa. Sasa wabongo wameambiwa ni za kisasa wamezuzuka.
Hawajawahi kushindwa kitu mafundi wetuHuu ujenzi tuwaachie tu waarabu wasiokua na mvua ya maji,zaidi ya mvua ya vyumbi na upepo mkali.Nimekaa Abudhabi kwenye nyumba tofauti zenye ujenzi huu ila sijawahi ona zikivuja.Ebu mafundi mangungu waulizeni waarabu wanajengaje?
Ndo umemaliza kil kitu yeye anajua ni rahisi kujenga kama hizo nyingiene na hata siku moja huwa hawakubali kuwa hawawezi bali hungangania tuMafundi wetu mtaani wengi ni wale hawashindwagi kitu hata kama hana ufaham nacho matokeo yake wanaharibu kazi.
Mwaka jana tulifumua tyles nyumba ya vyumba 7 sababu n hiyo hiyo fundi rangi kajifanya mjuaji anaweza kuweka tyles.
Mimi nimejengewe hizi nyumba wala haina shinda yoyote ,tatizo ninaloliona na mafundi hawajui lolote kuhusu hizi nyumba hasa hapo juu ,kwenye bati material za kupaua zipo nyimgi sanaUjenzi unahitaji 'ufahamu' wa mambo, sio ukanjanja. Mafundi wengi hawana ufahamu wa mambo mengi sana, kwenye ujenzi unahitaji kupata ufahamu kabla ya kufanya lolote.
Umeongea kila kitu mimi ninafundi wangu na hajawahi kuniangusha amenijengea nyumba kama tatu hivyo hakujawahi kuwa na shida yoyteUjenzi unahitaji 'ufahamu' wa mambo, sio ukanjanja. Mafundi wengi hawana ufahamu wa mambo mengi sana, kwenye ujenzi unahitaji kupata ufahamu kabla ya kufanya lolote.
Ndivyo wengi wao walivyoNdo umemaliza kil kitu yeye anajua ni rahisi kujenga kama hizo nyingiene na hata siku moja huwa hawakubali kuwa hawawezi bali hungangania tu
Kuna mtu anaogelea akiwa ndani huku 🤣🤣Ni nyumba za kisasa lakini bado hatuna mafundi wazuri wa kuweza kuzifanya ziendane na hali zote, zimekuwa ni nyumba nzuri sana kipindi cha kiangazi, kipindi cha mvua nyingi ni majanga matupu zinavuja mno lakini bado watu wanajenga sana nyumba kwa mtindo huo ambao sio rafiki hasa kipindi cha mvua.
Kuna mwenye nyumba hapa kila ikinyesha mvua lazima umuone fundi kapanda juu ya bati(navyotype tayari kuna fundi juu ya bati) na wapangaji wake wanalalamika sana maji kuingia ndani na kulowanisha vitu. Kila akiendelea kujenga style ni hiyo hiyo lawama nyingi akiziangushia kwa mafundi wake.
Mafundi upi ushauri wenu juu ya hili?
Upi ni mtindo mzuri wa kupaua nyumba kwa mazingira ya huku kwetu na aina ya mafundi tulionao mitaani?
View attachment 2805821
😂Si achimbe shimo aishi?
Naunga mkono hojaSiri kubwa ya contemporary wanapofeli mafundi wengi ni kuetengeneza system ya maji iende sambamba na uwiano wa kiwango cha slope na kasi ya maji yanayokusanywa kwny paa. Hii inahitaji experience expertice wa hii kitu ukikurupuka tu ukamchukua fundi yoyote tu bila mtaalamu wa kukudesignia roof structure ya contemporary lazma ulie kilio cha simba aliyepigwa bao tano
Nenda insta. Search Fundi Ujenzi FrankNaomba link ya hao mafundi mkuu, maana kuna kakibanda ka wapangaji nafikiria nitumie hii design ili kuokoa gharama. Shida niliskia hizi habar za maji kuingia nikaanza kughairi