Nibiru X JF-Expert Member Joined Jun 30, 2019 Posts 425 Reaction score 436 Dec 23, 2023 #241 ni fasheni tu ila sio jambo la ulazima sana pia mafundi wetu hawawezi kufanya hidden roof inabidi upate fundi mzuri hasa juu ya maji kuziba na ile siment maalum au bitmen na yale mabomba ya kushusha maji kwa uwelewa wangu jambo mm sio fundi
ni fasheni tu ila sio jambo la ulazima sana pia mafundi wetu hawawezi kufanya hidden roof inabidi upate fundi mzuri hasa juu ya maji kuziba na ile siment maalum au bitmen na yale mabomba ya kushusha maji kwa uwelewa wangu jambo mm sio fundi