Wote walioathirika na awamu ya Magufuli ndani ya CCM watatema nyongo zaoTuendelee kunywa mtori,nyama tutazikuta chini!
Tupo kazini tunapashana habari!Fanyeni kazi acheni kuwasema watu, tunataka kuona performance sio kusemasema watu.
Watachoka tu. Si unajua kutetea uongo ni ngumu sana maana hawana ushahidi. Kama.kuna kikao ambacho chama kilitoa maelekezo badala ya kupokea watatuambiaUVCCM Kuna Jambo uku mukuje
Bado sijatema ya kwangu , naiweka Sawa hapaWote walioathirika na awamu ya Magufuli ndani ya CCM watatema nyongo zao
UVCCM huwa wanasubili ushaidi mkuu?Watachoka tu. Si unajua kutetea uongo ni ngumu sana maana hawana ushahidi. Kama.kuna kikao ambacho chama kilitoa maelekezo badala ya kupokea watatuambia
Wakikurupukwa hata hawana nawi uso. Wanaropoka tu. Ha ha haaUVCCM huwa wanasubili ushaidi mkuu?
Nilikutana na mmoja maeneo ya kijiweni (Mwanza) kavaa nguo za UVCCM Kama mgambo wa jiji [emoji57]Wakikurupukwa hata hawana nawi uso. Wanaropoka tu. Ha ha haa
Huu mnyukano wa mabeberu weusi wacha nivute bakuli la popcorn nicheki muvi.MNEC Haji Jumaa amesema katika kipindi chake cha Ukatibu Mkuu wa CCM, Dr. Bashiru, Halmashauri kuu ya CCM haijawahi kukaa kwa lengo la kuielekeza Serikali bali walikaa kupokea maelekezo ya Serikali. Ameongeza kusema Halmashauri Kuu ilikuwa rubber stamp tu ya maagizo ya Serikali.
Chanzo: Darmpya Blog
Kipindi cha dikteta hali ilikuwa mbaya snMNEC Haji Jumaa amesema katika kipindi chake cha Ukatibu Mkuu wa CCM, Dr. Bashiru, Halmashauri kuu ya CCM haijawahi kukaa kwa lengo la kuielekeza Serikali bali walikaa kupokea maelekezo ya Serikali. Ameongeza kusema Halmashauri Kuu ilikuwa rubber stamp tu ya maagizo ya Serikali.
Chanzo: Darmpya Blog
Hakuna watu wananishangaza kama wana siasa. And some of us might think there is something serious about this vocal approach towards the ex Party Sectretary. Kumbe yale yaleTuendelee kunywa mtori,nyama tutazikuta chini!
Saizi ndio wanajifanya wana MENO kumbe wanafki tu, mwendazake angekuwepo sidhani kama kuna ambaye angethubutu kufungua kinywa na kuyasema kama haya na ya mengineyo yanayo muhusuMNEC Haji Jumaa amesema katika kipindi chake cha Ukatibu Mkuu wa CCM, Dr. Bashiru, Halmashauri kuu ya CCM haijawahi kukaa kwa lengo la kuielekeza Serikali bali walikaa kupokea maelekezo ya Serikali. Ameongeza kusema Halmashauri Kuu ilikuwa rubber stamp tu ya maagizo ya Serikali.
Chanzo: Darmpya Blog
MNEC Haji Jumaa amesema katika kipindi chake cha Ukatibu Mkuu wa CCM, Dr. Bashiru, Halmashauri kuu ya CCM haijawahi kukaa kwa lengo la kuielekeza Serikali bali walikaa kupokea maelekezo ya Serikali. Ameongeza kusema Halmashauri Kuu ilikuwa rubber stamp tu ya maagizo ya Serikali.
Chanzo: Darmpya Blog