Mnh? Umasaini tena...!



Heee hii kali...
 
Wahaya nao nasikia wanatabia ya baba mkwe kulala na mkwewe wa kike. Hii laana kweli kweli.

Siyo kweli - mimi ni mhaya. Ni marufuku kwa baba mkwe hata kuonana uso kwa uso na mkwewe (wa kike!)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…